Monday, April 18, 2011

Umoja wa Mataifa(United Nations)wa Marekani?! *UN ni ng’ombe wa maziwa wa Marekani *umefungwa kamba shingoni MAKALA yangu iitwayo, “Safari ya Dunia kutoka uhuru kurejea utumwani” iliyochapishwa katika gazeti la Tazama -Tanzania, imezua maswali lukuki na kiu ya wasomaji. Kufuatia hali hiyo, naamua kuyajibu maswali hayo kwa kunukuu vyanzo anuwai vya habari,kikiwemo kijarida kitolewacho kila baada ya majuma mawili na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino(SAUT) jijini Mwanza, Malimbe Campus. Kijarida hiki,kinaitwa CURRENT AFFAIRS, na unaweza kukipata pia kupitia website:www.saut.ac.tz/Current Affairs. Kichwa cha makala yangu hii,”Umoja wa Mataifa wa Marekani” hufanana na kichwa cha makala ya Amani Nkurlu,mmoja wa wahariri wasaidizi wa Current Affairs,katika toleo la Aprili 8-25 mwaka huu wa 2011. Amani Nkurlu,aliandika katika ukurasa wa nne, kwamba The United Nations of America” huku akieleza malengo ya kuanzishwa Umoja huo wa Mataifa Oktoba 24, mwaka 1945 kwamba ilikuwa ni kuondoa utumwa na vita duniani,ili kustawisha Haki za Binadamu,Amani na kuleta maendeleo kwa wakazi wa dunia. Kinyume chake, Umoja wa Mataifa(UN) ukiwa mithili ya ng’ombe aliyefungwa kamba shingoni na Marekani, unaburuzwa kwenda kuua mamia ya maelfu ya watu Afghanistan, Irak, sasa Libya,Yemen, baadaye Uturuki, Iran n.k Umoja huu(UN) uko mbioni kupeka vita vya maangamizi Iran, Yemen,Uturuki na katika nchi nyingine zilizoko jirani na Mfereji wa Suez na Bahari ya Mediterranean, ambazo huzalisha kwa wingi mafuta takriban asilimia nane za mahitaji ya dunia. Nimeandika pia makala iitwayo, “Safari ya miaka 59 ya Afrika,kutoka Uhuru kurejea Utumwani” iliyochapwa katika gazeti hili,nikieleza ubeberu na mpango wa mabepari wa Marekani na washirika wake,na mashirika yao ya kijasusi, kama Central Intelligence Agency(CIA) na lile la kibaraka wao, Israeli(Mossad)kuvuruga amani katika eneo lenye mafuta mengi,huko Mashariki ya Kati. Awali, walitumia Shirika la Makaburu wa Afrika Kusini(BOSS) kuhujumu harakati za uhuru,wakawaua wanamapinduzi wa Afrika,kama Samora Moises Machel,na wengine ndani ya Afrika Kusini, wakawafunga jela Nelson Rolihlahla “Madiba” Mandela n.k Kwanza, niwapongeze wajumbe wa Bodi ya uhariri na waandishi wa Current Affairs:Theresia Christian,Gregory Gondwe, Amani Nkurlu na wenzao, kwa kuuona ubeberu na ubepari kasha ukoloni mamboleo, ukipindua mamlaka za nchi zenye rasilimali nyingi kama mafuta. Visingizio vyao eti ni kuleta amani na demokrasia katika nchi hizo, na kasha Haki za Binadamu! Marekani, Uingereza na Ufaransa,wamempindua kibaraka wao Hosni Mubarak,kwa sababu ya Mfereji wa Suez uliojengwa na Ufaransa na Uingereza mwaka 1859-1869.Walianza kuupigania,Misri ikautaifisha Julai 28 mwaka 1956. Una urefu wa maili 103 unatumiwa na mameli kuziunganisha Bahari ya Shamu(Red Sea) na Bahari ya Kati-Mediterranean. Misri pia kuna mafuta mengi na madini mengine,na ina ushawishi katika nchi nyingi za Kiarabu zenye utajiri wa mafuta. Huko Libya, kosa la kwanza la Kanali Muammar al-Gaddafi,lilikuwa kutaifisha visima vya mafuta mara baada ya kuingia madarakani mwaka 1969, kwa maslahi ya wananchi wa Libya, na aslani si kwa maslahi ya makampuni ya Ulaya na Marekani. Utaifishaji, katika macho ya wakiloni hawa,mabeberu ni kosa kubwa na hatari kwa maslahi yao-wao na Mashirika yao kama International Monetary Fund(IMF) na Benki ya Dunia(WB) wanataka dunia nzima itekeleze amri yao iitwayo UBINAFSISHAJI!! Hapa kwetu,tumebinafsisha hata makampuni na mabenki yaliyojiendesha kwa faida kubwa na kuwapa ajira wananchi,kwa sababu tunawaogopa hawa mabwenyenye na taasisi zao za Breton Woods. Marekani na washirika wake, wanauburuza Umoja huu wa Mataifa(United Nations of America?), wanawafadhili waasi nchili Libya kwa silaha nzito na fedha,ili wapigane vita vyao walivyoanzisha tangu mwaka 1986 vya kumpindua Kanali Muammar al-Gaddafi. Kwa sababu, Gaddafi alikuwa na kiburi cha kutowafungulia mlango makampuni ya Marekani na Ulaya, na alithubutu kuhujumu ndege ya Pan American Airways(PAN AM) huko Lockerbie, Scotland mwaka 1988. Akasalimu amri nusu nusu kwa kulipa fidia ya mamilioni ya Dola za mafuta, ili sasa wamwondoe katika ramani ya Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil),kumbe wapi bwana!Wanae tu. Hapa kwetu wanatuingilia hata jikoni, eti kwa sababu wametufunika kwa chandarua cha kukinga Malaria! Gaddafi, alitaka Afrika iunde taifa kubwa-The United States of Africa! Hii ndiyo ilikuwa njozi ya akina Kwame Nkurumah, Gamal Abdel Nasser, Julius Nyerere, Patrice Emery Lumumba, Ahmad Sekou Toure na wenzao, wakaishia kuwekewa vikwazo vya uchumi na kuuawa. Na Gaddafi anarejea kosa la wenzake,kutaka mafuta ya Afrika,madini na gesi view kwa maslahi ya Waafrika tu. Kama Umoja wa Mataifa(UN) ulianzishwa ili kulinda amani baada ya Vita vikuu vya Kwanza na Vya Pili,kuhifadhi Haki za Binadamu na kuleta maendeleo kwa watu: Kwanini Umoja huu(UN) uwe wa Marekani na washirika wake,Uingereza na Ufaransa,na wajiamulie wao kwenda Afghanistan kupindua serikali na kuweka watu wao,kasha wakaenda Irak na kumkamata Saddam na kumchinja kwa kitanzi huku wakiua mamia kwa maelfu? Irak, wameua watu zaidi ya 700,000 sasa na wanatesa raia wanaowapinga kwa vifungo jela huko Guantanamo Bay na Abu-Ghraib. Wanawafunga jela watuhumiwa hata kabla ya kuwafikisha mahakamani. Je,huku si kuhujumu Haki za Binadamu wanazodai zinakiukwa Misri, Yemen,Tunisia,Uturuki,Iran,Korea Kaskazini na nchi adui zao? Umoja wa Mataifa unaburuzwa kupelekwa Iran,ili wakampindue Mujahiddin Mahmoud Ahmadnejad,kwamba anarutubisha madini ya Uranium kwa ajili ya silaha za nyuklia. Wametoa amri ndege za Gaddafi zisiruke angani Libya kuwapika waasi(rafiki zao na vibaraka wao) kwa amri ya “No Fly Zone”! Sasa msomaji, badala ya amri hii, “No Fly Zone” kutolewa na Katibu Mkuu wa UN, Bwana Ban-Ki Moon huko 1st Avenue, New York,inatolewa na akina Obama, Hillary Clinton na Robert Gates, huko White House, mjini Washington!! Kumbe, ndiyo maana tunasema UN ni Umoja wa Mataifa wa Marekani! Na hii siyo mara ya kwanza kwa mabepari kuchochea vita duniani,mahali kulipo na alamasi,dhahabu,mafuta,gesi,uranium na mifereji kama Panama na Suez na bahari kama Mediterranean n.k Katibu Mkuu wa Pili wa Umoja wa Mataifa,huu wa Marekani(The United Nations of America)Mswedeni, Darg Hjalmar Agne Carl Hammarskjold, aliyefanya kazi tangu Aprili 10 mwaka 1953-Septemba18 mwaka 1961, alikufa kwa ajali ya ndege Congo,leo DRC. Nani alichochea vita Congo? Kwa nini? Ni Marekani na washirika wake na majasusi wa CIA walileta uasi na vurugu huko Shaba na Katanga,wakamkamata mwanamapinduzi, Patrice Lumumba na kumuua. Lumumba, alikuwa na sera za kijamaa,za kutaka madini ya Congo na rasilimali zingine kuwa mali ya raia wa Congo—ooh, akawakosea hawa. Wakawachochea akina Moise Tshombe,Joseph Kasavubu na vibaraka wao wengine kama Joseph Desire Mobutu Sesesseko, wakamuua Lumumba. Sasa, Katibu Mkuu wa UN wakati huo Dk. Darg Hammarskjold akasafiri kwa ndege kwenda Congo kutafuta amani, Septemba 18 mwaka 1961 akafa kwa ajali ya ndege. Hadi leo, Umoja huu wa Mataifa wa Marekani(United Nations of America)HAUJATULIZA VITA Congo. Badaye, walimweka kibaraka wao Mobutu, wakaiba madini wee, Mobutu alipora Dola za Marekani milioni sita akaficha Ulaya-fedha hizi ni nyingi sawa la deni la nje la nchi nzima. Salim Ahmed Salim, alijaribu kugombea Ukatibu M kuu wa UN. Marekani walimkataa kwa sababu alikuwa anatoka nchi ya kijamaa,na hasa ujamaa wa akina Nyerere! Umoja wa Mataifa wenye nia ya kuboresha maslahi ya watu duniani,ukatae ujamaa? Aliwekwa Boutros Boutros-Ghali wa Misri kuwa Katibu Mkuu wa sita,Januari Mosi mwaka 1992. Nataka nikwambie msomaji. Huyu Boutros Boutros Ghali, alikataliwa na Marekani asigombee mhula wa pili,kwa kisingizio kwamba alishindwa kuzuia mauaji ya Kimbari-genocide-huko Rwanda, kasha hakuzuia vita Angola! Nani alichochea vita Angola? Siyo Marekani na washirika wake na majasusi wa CIA waliomfadhili Jonas Malheiro Savimbi,ili kukwamisha juhudi za akina Agostino Neto? Nani alihujumu MPLA? Ndiyo, walimtoa kafara Boutros Ghali, kwa sababu alishindwa kubeba maslahi ya Marekani, akataka kuleta uarabu-arabu huko. Alikuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa UN kutumikia mhula mmoja tu, wakati huko Cabinda, Angola tunajua kuna mafuta mengi na Marekani wananchochea maasi, Naam, Umoja wa Mataifa(UN) ni ng’ombe wa maziwa wa Marekani! Kisha,twajua Umoja wa Kujihami wa Ulaya Magaharibi(Northern Atlantic Treaty Organization) ULIANZISHWA NA Rais Franklin Roosevelt wa Marekani na Waziri Mkuu Winston Churchill wa Uingereza mwaka 1941 ili kujihami dhidi ya Urusi na washirika wake wa Warsaw Pact. Sasa, NATO kuishambulia Libya, maana yake Gaddafi aliwashambulia NATO lini? Marekani inayochangia UN kwa zaidi ya asilimia 30 ilimweka Kofi Annan,wa saba wakamburuza hadi mwenyewe amekiri kuhenyeshwa. UN ni ng’ombe wa Marekani wa maziwa na kafungwa kamba shingoni.Wanakotaka kwenda Marekani, na UN inakwenda. Rwanda walikufa watu 800,000 bila msaada wa UN kwa sababu hakukuwa na mafuta. Bosnia na Herzegovina mwaka 1995 walikufa 200,000,Irak wameuliwa watu 700,000, Afghanistan wamekufa mamia kwa maelfu, UN wapo tu hadi ofisi zake zikalipuliwa kwa bomu. Hawana kazi! Hakuna wanachokataa juu ya Misri,Libya,Yemen, Uturuki n.k Huu Umoja wa Mataifa umeshindwa kuleta amani duniani,unaleta kiza na wakimbizi kuliko wakati wa Vita vya Kwanza na Vya Pili vya Dunia. Hata Ivory Coast, UN hawatafanya kitu, Laurent Gbagbo kakamatwa Aprili 11, mkewe Simone akabakwa na wafuasi wa Ouattara Dramane, watu wanaweza kuuana kikabila na kidini,lakini utaona UN inatazama mafuta, kakao na mbao zaidi kuliko kulinda watu! Vita vya kwanza vya Dunia(1914-1918) vilisababisha wanajeshi 8,418,000 na raia 1,3000 kupoteaa maisha. Vita vya Pili vya Dunia(1939-45)viliua wanajeshi 16,933,000 na raia 34,305,000 wakiwemo babu zetu. Vita ambavyo Marekani Vietnam(1962-70)Vikaua watu 500,000,Korea wamekufa wau milioni nzima mwaka 1950-53. Kasome kitabu kiitwacho CONFICT ON THE TWENTIETH CENTURY cha David Wood(Institute for Strategic Studies),London. Nataka msomaji wangu ujue kwamba Umoja wa Mataifa(UN) unaoburuzwa na Marekani na washirika wake kwa tabia hizi, kamwe hawaleti amani na maendeleo-ni vita,njaa na wakimbizi,na maradhi na mauti. Hakuna uhuru,kama raia wanaamuliwa nani awatawale na Marekani,tena kwa muda gani. Umoja huu una umri wa miaka 66, una Makatibu Wakuu nane: Trygve Lie wa Norway,Hammarskjold wa Sweden, Dk U-Thant wa Burma, Kurt Waldheim wa Austria, Javier Perez de Cueller wa Peru,Boutros Ghali wa Misri, Kofi Annan wa Ghana na Ban Ki Moon wa Korea Kusini nchi rafiki yao. Hawezi kutokea Katibu Mkuu wa UN Uchina, Urusi,Tanzania ama Korea Kaskazini!Wakitaka kuvamia Yemen,Uturuki au Iran kwamba kuna nyuklia, hawa watakataa. Kinachotakiwa na Marekani na washirika wao,ni kuwapigia goti tu, na ukiwapinga ni kupigwa vita vikali kwa visingizio vya demokrasia na haki za binadamu ambazo wao wamezivunja mno. Ndiyo maana, Biblia katika Ufunuo wa Yohana 13:11-18, inawasema Marekani kama Mnyama kama mwanakondoo aliyekuwa na demokrasia na Uhuru wa dini, sasa ni Ibilisi anayewalazimisha watu wote kumsujudia shetani na Freemasons, wanaokataa wanauawa na kuwekewe vikwazo vya kiuchumi-economic sanctions! www.congesmrambatoday.blogspot.com 0786/0754-324 074 Go to Previous message | Go to Next message | Back to Messages | Full Headers Reply Reply All Forward Forward Mail Search WelcomeInboxNewFoldersMail Options


  Umoja wa Mataifa(United Nations)wa Marekani?!
                 *UN ni  ng’ombe wa maziwa wa Marekani
                 *umefungwa kamba shingoni

MAKALA yangu iitwayo, “Safari ya Dunia kutoka uhuru kurejea utumwani” iliyochapishwa katika gazeti  la Tazama -Tanzania, imezua maswali lukuki na kiu ya wasomaji.
   Kufuatia hali hiyo, naamua kuyajibu maswali hayo kwa kunukuu vyanzo anuwai vya habari,kikiwemo kijarida kitolewacho kila baada ya majuma mawili na Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino(SAUT) jijini Mwanza, Malimbe Campus.
  Kijarida hiki,kinaitwa CURRENT AFFAIRS, na unaweza kukipata pia kupitia website:www.saut.ac.tz/Current Affairs.
Kichwa cha makala yangu hii,”Umoja wa Mataifa wa Marekani” hufanana na kichwa cha makala ya Amani Nkurlu,mmoja wa wahariri wasaidizi wa Current Affairs,katika toleo la Aprili 8-25 mwaka huu wa 2011.
   Amani Nkurlu,aliandika katika ukurasa wa nne, kwamba The United Nations of America” huku akieleza malengo ya kuanzishwa Umoja huo wa Mataifa Oktoba 24, mwaka 1945 kwamba ilikuwa ni kuondoa utumwa na vita duniani,ili kustawisha Haki za Binadamu,Amani na kuleta maendeleo kwa wakazi wa dunia.
  Kinyume chake, Umoja wa Mataifa(UN) ukiwa mithili ya ng’ombe aliyefungwa kamba shingoni na Marekani, unaburuzwa kwenda kuua mamia ya maelfu ya watu Afghanistan, Irak, sasa Libya,Yemen, baadaye Uturuki, Iran n.k
 Umoja huu(UN) uko mbioni kupeka vita vya maangamizi Iran, Yemen,Uturuki na katika nchi nyingine zilizoko jirani na Mfereji wa Suez na Bahari ya Mediterranean, ambazo huzalisha kwa wingi mafuta takriban asilimia nane za mahitaji ya dunia.
   Nimeandika pia makala iitwayo, “Safari ya miaka 59 ya Afrika,kutoka Uhuru kurejea Utumwani” iliyochapwa katika gazeti hili,nikieleza ubeberu na mpango wa mabepari wa Marekani na washirika wake,na mashirika yao ya kijasusi, kama Central Intelligence Agency(CIA) na lile la kibaraka wao, Israeli(Mossad)kuvuruga amani katika eneo lenye mafuta mengi,huko Mashariki ya Kati.
   Awali, walitumia Shirika la Makaburu wa Afrika Kusini(BOSS) kuhujumu harakati za uhuru,wakawaua wanamapinduzi wa Afrika,kama Samora Moises Machel,na wengine ndani ya Afrika Kusini, wakawafunga jela Nelson Rolihlahla “Madiba” Mandela n.k
   Kwanza, niwapongeze wajumbe wa Bodi ya uhariri na waandishi wa Current Affairs:Theresia Christian,Gregory Gondwe, Amani Nkurlu na wenzao, kwa kuuona ubeberu na ubepari kasha ukoloni mamboleo, ukipindua mamlaka za nchi zenye rasilimali nyingi kama mafuta.
 Visingizio vyao eti ni kuleta amani na demokrasia katika nchi hizo, na kasha Haki za Binadamu!
 Marekani, Uingereza na Ufaransa,wamempindua kibaraka wao Hosni Mubarak,kwa sababu ya Mfereji wa Suez uliojengwa na Ufaransa na Uingereza mwaka 1859-1869.Walianza kuupigania,Misri ikautaifisha Julai 28 mwaka 1956.
 Una urefu wa maili 103 unatumiwa na mameli kuziunganisha Bahari ya Shamu(Red Sea) na Bahari ya Kati-Mediterranean.
  Misri pia kuna mafuta mengi na madini mengine,na ina ushawishi katika nchi nyingi za Kiarabu zenye utajiri wa mafuta.
Huko Libya, kosa la kwanza la Kanali Muammar al-Gaddafi,lilikuwa kutaifisha visima vya mafuta mara baada ya kuingia madarakani mwaka 1969, kwa maslahi ya wananchi wa Libya, na aslani si kwa maslahi ya makampuni ya Ulaya na Marekani.
   Utaifishaji, katika macho ya wakiloni hawa,mabeberu ni kosa kubwa na hatari kwa maslahi yao-wao na Mashirika yao kama  International Monetary Fund(IMF) na Benki ya Dunia(WB) wanataka dunia nzima itekeleze amri yao iitwayo UBINAFSISHAJI!!
 Hapa kwetu,tumebinafsisha hata makampuni na mabenki yaliyojiendesha kwa faida kubwa na kuwapa ajira wananchi,kwa sababu tunawaogopa hawa mabwenyenye na taasisi zao za Breton Woods.
  Marekani na washirika wake, wanauburuza Umoja huu wa Mataifa(United Nations of America?), wanawafadhili waasi nchili Libya kwa silaha nzito na fedha,ili wapigane vita vyao walivyoanzisha tangu mwaka 1986 vya kumpindua Kanali Muammar al-Gaddafi.
 Kwa sababu, Gaddafi alikuwa na kiburi cha kutowafungulia mlango makampuni ya Marekani na Ulaya, na alithubutu kuhujumu ndege ya Pan American Airways(PAN AM) huko Lockerbie, Scotland mwaka 1988.
 Akasalimu amri nusu nusu kwa kulipa fidia ya mamilioni ya Dola za mafuta, ili sasa wamwondoe katika ramani ya Mhimili wa Uovu(The Axis of Evil),kumbe wapi bwana!Wanae tu.
  Hapa kwetu wanatuingilia hata jikoni, eti kwa sababu wametufunika kwa chandarua cha kukinga Malaria! Gaddafi, alitaka Afrika iunde taifa kubwa-The United States of Africa!
 Hii ndiyo ilikuwa njozi ya akina Kwame Nkurumah, Gamal Abdel Nasser, Julius Nyerere, Patrice Emery Lumumba, Ahmad Sekou Toure na wenzao, wakaishia kuwekewa vikwazo vya uchumi na kuuawa.
 Na Gaddafi anarejea kosa la wenzake,kutaka mafuta ya Afrika,madini na gesi view kwa maslahi ya Waafrika tu.
 Kama Umoja wa Mataifa(UN) ulianzishwa ili kulinda amani baada ya Vita  vikuu vya Kwanza na Vya Pili,kuhifadhi Haki za Binadamu na kuleta maendeleo kwa watu:
  Kwanini Umoja huu(UN) uwe wa Marekani na washirika wake,Uingereza na Ufaransa,na wajiamulie wao kwenda Afghanistan kupindua serikali na kuweka watu wao,kasha wakaenda Irak na kumkamata Saddam na kumchinja kwa kitanzi huku wakiua mamia kwa maelfu?
  Irak, wameua watu zaidi ya 700,000 sasa na wanatesa raia wanaowapinga kwa vifungo jela huko Guantanamo Bay na Abu-Ghraib.
 Wanawafunga jela watuhumiwa hata kabla ya kuwafikisha mahakamani. Je,huku si kuhujumu Haki za Binadamu wanazodai zinakiukwa Misri, Yemen,Tunisia,Uturuki,Iran,Korea Kaskazini na nchi adui zao?
 Umoja wa Mataifa unaburuzwa kupelekwa Iran,ili wakampindue Mujahiddin Mahmoud Ahmadnejad,kwamba anarutubisha madini ya Uranium kwa ajili ya silaha za nyuklia.
  Wametoa amri ndege za Gaddafi zisiruke angani Libya kuwapika waasi(rafiki zao na vibaraka wao) kwa amri ya “No Fly Zone”!
 Sasa msomaji, badala ya amri hii, “No Fly Zone” kutolewa na Katibu Mkuu wa UN, Bwana Ban-Ki Moon huko 1st Avenue, New York,inatolewa na akina Obama, Hillary Clinton na Robert Gates, huko White House, mjini Washington!!
 Kumbe, ndiyo maana tunasema UN ni Umoja wa Mataifa wa Marekani!
 Na hii siyo mara ya kwanza kwa mabepari kuchochea vita duniani,mahali kulipo na alamasi,dhahabu,mafuta,gesi,uranium na mifereji kama Panama na Suez na bahari kama Mediterranean n.k
 Katibu Mkuu wa Pili wa Umoja wa Mataifa,huu wa Marekani(The United Nations of America)Mswedeni, Darg Hjalmar Agne Carl Hammarskjold, aliyefanya kazi tangu Aprili 10 mwaka 1953-Septemba18 mwaka 1961, alikufa kwa ajali ya ndege Congo,leo DRC.
  Nani alichochea vita Congo? Kwa nini? Ni Marekani na washirika wake na majasusi wa CIA walileta uasi na vurugu huko Shaba na Katanga,wakamkamata mwanamapinduzi, Patrice Lumumba na kumuua.
 Lumumba, alikuwa na sera za kijamaa,za kutaka madini ya Congo na rasilimali zingine kuwa mali ya raia wa Congo—ooh, akawakosea hawa.
 Wakawachochea akina Moise Tshombe,Joseph Kasavubu na vibaraka wao wengine kama Joseph Desire Mobutu Sesesseko, wakamuua Lumumba.
 Sasa, Katibu Mkuu wa UN wakati huo Dk. Darg Hammarskjold akasafiri kwa ndege kwenda Congo kutafuta amani, Septemba 18 mwaka 1961 akafa kwa ajali ya ndege.
 Hadi leo, Umoja huu wa Mataifa wa Marekani(United Nations of America)HAUJATULIZA VITA Congo.
 Badaye, walimweka kibaraka wao Mobutu, wakaiba madini wee, Mobutu alipora Dola za Marekani milioni sita akaficha Ulaya-fedha hizi ni nyingi sawa la deni la nje la nchi nzima.
   Salim Ahmed Salim, alijaribu kugombea Ukatibu M kuu wa UN. Marekani walimkataa kwa sababu alikuwa anatoka nchi ya kijamaa,na hasa ujamaa wa akina Nyerere!
  Umoja wa Mataifa wenye nia ya kuboresha maslahi ya watu duniani,ukatae ujamaa?
Aliwekwa Boutros Boutros-Ghali wa Misri kuwa Katibu Mkuu wa sita,Januari Mosi mwaka 1992.
 Nataka nikwambie msomaji. Huyu Boutros Boutros Ghali, alikataliwa na Marekani asigombee mhula wa pili,kwa kisingizio kwamba alishindwa kuzuia mauaji ya Kimbari-genocide-huko Rwanda, kasha hakuzuia vita Angola!
 Nani alichochea vita Angola? Siyo Marekani na washirika wake na majasusi wa CIA waliomfadhili Jonas Malheiro Savimbi,ili kukwamisha juhudi za akina Agostino Neto?
 Nani alihujumu MPLA? Ndiyo, walimtoa kafara Boutros Ghali, kwa sababu alishindwa kubeba maslahi ya Marekani, akataka kuleta uarabu-arabu huko.
  Alikuwa Katibu Mkuu wa kwanza wa UN kutumikia mhula mmoja tu, wakati huko Cabinda, Angola tunajua kuna mafuta mengi na Marekani wananchochea maasi,
 Naam, Umoja wa Mataifa(UN) ni ng’ombe wa maziwa wa Marekani!
Kisha,twajua Umoja wa Kujihami wa Ulaya Magaharibi(Northern Atlantic Treaty Organization) ULIANZISHWA NA Rais Franklin Roosevelt wa Marekani na Waziri Mkuu Winston Churchill wa Uingereza mwaka 1941 ili kujihami dhidi ya Urusi na washirika wake wa Warsaw Pact.
 Sasa, NATO kuishambulia Libya, maana yake Gaddafi aliwashambulia NATO lini? Marekani inayochangia UN kwa zaidi ya asilimia 30 ilimweka Kofi Annan,wa saba wakamburuza hadi mwenyewe amekiri kuhenyeshwa.
 UN ni ng’ombe wa Marekani wa maziwa na kafungwa kamba shingoni.Wanakotaka kwenda Marekani, na UN inakwenda.
 Rwanda walikufa watu 800,000 bila msaada wa UN kwa sababu hakukuwa na mafuta. Bosnia na Herzegovina mwaka 1995 walikufa 200,000,Irak wameuliwa watu 700,000, Afghanistan wamekufa mamia kwa maelfu, UN wapo tu hadi ofisi zake zikalipuliwa kwa bomu.
 Hawana kazi! Hakuna wanachokataa juu ya Misri,Libya,Yemen, Uturuki n.k Huu Umoja wa Mataifa umeshindwa kuleta amani duniani,unaleta kiza na wakimbizi kuliko wakati wa Vita vya Kwanza na Vya Pili vya Dunia.
  Hata Ivory Coast, UN hawatafanya kitu, Laurent Gbagbo kakamatwa Aprili 11, mkewe Simone akabakwa na wafuasi wa Ouattara Dramane, watu wanaweza kuuana kikabila na kidini,lakini utaona UN inatazama mafuta, kakao na mbao zaidi kuliko kulinda watu!
 Vita vya kwanza vya Dunia(1914-1918) vilisababisha wanajeshi 8,418,000 na raia 1,3000 kupoteaa maisha.
 Vita vya Pili vya Dunia(1939-45)viliua wanajeshi 16,933,000 na raia 34,305,000 wakiwemo babu zetu. Vita ambavyo Marekani Vietnam(1962-70)Vikaua watu 500,000,Korea wamekufa wau milioni nzima mwaka 1950-53. Kasome kitabu kiitwacho CONFICT ON THE TWENTIETH CENTURY cha David Wood(Institute for Strategic Studies),London.
 Nataka msomaji wangu ujue kwamba Umoja wa Mataifa(UN) unaoburuzwa na Marekani na washirika wake kwa tabia hizi, kamwe hawaleti amani na maendeleo-ni vita,njaa na wakimbizi,na maradhi na mauti.
 Hakuna uhuru,kama raia wanaamuliwa nani awatawale na Marekani,tena kwa muda gani. Umoja huu una umri wa miaka 66, una Makatibu Wakuu nane: Trygve Lie wa Norway,Hammarskjold wa Sweden, Dk U-Thant wa Burma, Kurt Waldheim wa Austria, Javier Perez de Cueller wa Peru,Boutros Ghali wa Misri, Kofi Annan wa Ghana na Ban Ki Moon wa Korea Kusini nchi rafiki yao.
 Hawezi kutokea Katibu Mkuu wa UN Uchina, Urusi,Tanzania ama Korea Kaskazini!Wakitaka kuvamia Yemen,Uturuki au Iran kwamba kuna nyuklia, hawa watakataa.
 Kinachotakiwa na Marekani na washirika wao,ni kuwapigia goti tu, na ukiwapinga ni kupigwa vita vikali kwa visingizio vya demokrasia na haki za binadamu ambazo wao wamezivunja mno.
  Ndiyo maana, Biblia katika Ufunuo wa Yohana 13:11-18, inawasema Marekani kama Mnyama kama mwanakondoo aliyekuwa na demokrasia na Uhuru wa dini, sasa ni Ibilisi anayewalazimisha watu wote kumsujudia shetani na Freemasons, wanaokataa wanauawa na kuwekewe vikwazo vya kiuchumi-economic sanctions!
 
      0786/0754-324 074
 



eti, hizi ndiyo haki za binadamu za Ulaya na Marekani? UINGEREZA, ambayo ilifanikiwa kuzikusanya nchi nyingi zilizokuwa chini ya Utawala wa Rumi, na kuzifanya makaoloni yake, imekuwa ikitawaliwa na wafalme tangu mwaka 829 A.D. Hawa wafalme, na dada zao na mabinti zao(malkia) wamewatawala Waingereza tangu karne ya tisa, Hadi leo, na hakuna raia aliyekwisha andamana kutaka utawala wa kifalme na kisultani uliodumu zaidi mya miaka 1,182 ung’olewe,ili kupisha demokrasia. Nchi hii, inayoongoza kuata kumpindua Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar al-Gaddafi, kwamba amedumu uongozini tangu mwaka 1949(umri wa miaka 42) imetawaliwa na wafalme lukuki,tangu Egbert na zama za Saxons na Danes. Mwaka 1399,Uingereza ilikuwa chini ya House of Lancaster, wakitawaliwa na Wafalme na Duke of Lancaster,hadi miaka ya 1900 wakawa chini ya Mfalme GeorgeV,Edward VIII, George VI baadaye akatawazwa Malkia Elizabeth II, ambaye ni BINTI mkubwa wa GeorgeVI. Huyu Malkia Elizabeth II alitawazwa kuwa Malkia wa Uingereza Feburuari 6,mwaka 1952 hadi leo anatawala Uingereza, na hakuna wa kuhoji mamlaka yake yaliyotamalaki hata hapa kwetu Tanzania. Serikali ya Uingereza inayoongozwa na Mawaziri wakuu,ilianzishwa ,mwaka 1721( karne tisa baada ya Mfalme wa kwanza, Egbert; wakati huo akaanza kutawala Waziri Mkuu, Sir Robert Walpole. Sir, ni cheo anachopewa mtu anayeheshimiwa sana na Familia ya kifalme.Cheo hiki, “Knighthood” ametunukiwa hata Salman Rushdie. Sir Salman Rushdie alipigwa ‘Fatwa’ na utawala wa Ayatollah Khomeini,huko Iran,hivyo hutafutwa sana auawe kwa kuikashifu dini ya Kiislam. Niachane na hayo; hayanihusu. Kutoka Sir Robert Walpole, hadi sasa David Cameron, Uingereza yapata mawaziri wakuu takriban 80 vya vyama anuwai, ambavyo aslani haviwezi kuhoji bungeni mamlaka ya Malkia. Malkia Elizabeth II ANA UMRI WA MIAKA 84, alizaliwa Aprili 21 mwaka 1926. Akifa leo, ingawa ametawala Uingereza kwa jumla ya miaka 59, atatawala mwanaye,Prince Charles, ama wajukuu zake, Prince William na Harry. Novemba 2008 Malkia na mumewe,Prince Phillip, walikuja Kampala,Uganda kuburuza mataifa lukuki hapa duniani, katika mkutano wa makoloni yao ya zamani, wao wanaita Jumuiya ya Madola, The Commonwealth. Hata Ufaransa imetawaliwa na akina Charlegne,au Charles Mkuu(742-614 AD) hadi wakati wa Jamhuri ya Tano zama za Rais Charles Andre J.M. de Gaulle(soma Chalz de Go)aliyeishi 1890-1070. Ni wakati wa akina Georges Pompidou,Valery Giscard d’ Estaing, Francois Mitterand,Jacqius Chirac hadi huyu “Mzee wa Vimwana” Nicolas Sarkozy. Nataka kusema kwamba, hizi dola kuu zilitoka mbali,kwenye tawala za kifalme,hadi leo kinachoitwa demokrasia halisi hakuna. Isipokuwa, wao wanataka wafalme wa Afrika(Gaddafi anaitwa , ‘King of Afrcan Kings’) watokomezwe. Ili, akina Malkia na wajukuu zake Harry na Prince William wabaki wakitutawala huku,kwenye Commonwealth. Malkia huyu, bado anaburuza mataifa mengi tu kama Canada, Austria, New Zealand,Jamaica,Barbados, Bahamas kwa kuyataja machache. Tena, Marekani ndiko walikoiba kura katika uchaguzi wa mwaka 2000 pale Al Gore alikaribia kushinda, wakamwibia kura. Mashabiki wake na chama chake cha Democrat walikuwa wataarabu tu,ingekuwa kwetu huku,ingekuwa kama Cote d’ Ivoire. Dola iliyodumu kwa jumla ya miaka 235 wakahesabu kura kwa mashine kasha kwa mikono, wakamnyang’anya kura AlGore, wakampa Bush. Kesi ikaenda mahakamani, mahakama ikachakachua matokeo na kumpa Bush mhula wa kwanza wa utawala. Tunajua kura za Palm Beach na Miami-Dude zilileta shida, mwezi mzima ukapita bila kujulikana mshindi. Algore alipata kura za watu wote51,000,894wakati Bush alipata 50,495,211 akaongoza Florida na kujipatia kura za ushindi za electoral 271. Nataka kuwagutua wanaoshabikia Uingereza,Marekani,UfaransamUjerumani n.k kwamba kuna demokrasia pevu,kuna uhuru na haki za binadamu(zipi?) wanazofanya hapa duniani? Mwaka 1936, Uwanja wa Olimpiki wa Berlin ulijengwa na Dikteta Adolf Hitler. Michezo ya Olimpiki ilifanywa hapo Berlun, na Hitler akawa mgeni wa heshima. Julai 9 mwaka 1936 Mwamerika Mweusi, Jesse Owens akawatioa kamasi Wazungu wote kwenye mbio na riadha. Akajipatia nishani nne za dhahabu kwa muda wa dakika 45 tu. Hitler akakasirika kuona Mweusi akishinda kila mara, wakati Wazungu hawakumwona. Yeye alijua mtu mweusi ni mnyama, kwahiyo akasusia mashindano ya Olimpiki kwa sababu mnyama, Owen, salishinda! Miaka 70 baadaye, mwaka 2006,uwanja huohuo wa Olimpiki wa Berlin,ndiko fainali za Kombe la Dunia zilikofanyika, Michael Materazzi wa Italia akamtukana Zenedine Zidane Zizou,matusi ya kibaguzi. Chukua tabia hii ya akina Hitler na Materazzi halafu uchanganye na ubaguzi wa rangi huko Afrika ya Kusini zama za Makaburu. Angalia, ubaguzi wa rangi dhidi ya akina Samuel Eto’o Fills wanaoitwa nyani, ama kawaulize akina Eric Abidal Claud Makelele,Zidane, Thiery Henry, William Gallas,Louis Saha,Patrick Vieira na wenzao waliposhindwa kuipa Ufaransa ubingwa, ilisemwa kwamba ni rangi yao Nyeusi ya mkosi! Hapa, msomaji, unaona haki gani za binadamu huko Ulaya?Agosti 2009 huko Berlin,Ujerumani, Caster Semenya(19) wa Afrika Kusini akawatoa kamasi Wazungu katika mbio za mita 800, wakamnyima ushindi, kwa madai kuwa yeye ni ‘Dume-Jike,’ Wazungu bwana! Kwa Muingereza, eti neno uhuru ni mzaha linapofika kwa Mwafrika. Mwaka 1787 mji Mkuu wa Sierra Leone, Freetown(MJI ULIO HURU)ulijengwa na Muingereza huyu kama kituo huru cha watumwa! Watumwa walijengewa mji huru wa Freetown?! Ajabu. Kifo cha Princess Diana mwaka 1997,na kuundwa kwa tume ya uchunguzi wa kifo chake, The Paget Probe, ni kielelezo kwamba Uingereza hakuna uhuru,hakuna demokrasia na haki za binadamu. Kuna ubaguzi wa rangi na ukaburu uliotamalaki. Princess Diana(36) na Dodi al Fayed(42) walikufa Agosti 31 mwaka 1997 katika Ponto de I’Alma Park,mjini Paris, Ufaransa, mahali penye njia ya chini kwa chini. Ilikuficha tetesi kwamba ‘wivu’ wa Malkia na familia yake dhidi ya Diana aliyekuwa amevuka mipaka na kutaka kuolewa na Mwarabu, Dodi, na ikasemekana alikuwa na himila changa ya miezi miwili, ndicho kitu kilichomsababishia mauti ya tashtiti. Vyombo vya usalama mjini Paris, baada ya ajali yakupangwa, vikamsingizia dereva,Henri Paul kwamba aliendesha gari kwa kasi sana, ili kuwatoroka ma-Paparazzi. Kwamba, Dodi na Diana waliutia mtindi kwa sana, hawakufunga mikanda wakati Mercedes Benz S-280 SEDAN, ilipogonga nguzo ya 13 hapo barabara ya chini na kusababisha vifo vya Diana na Dodi! Maneno yalipokuwa mengi, ikaundwa tume ya kuchunguza vifo hivi, Paget Probe iliyokuwa na wapelelezi 15 kutoka Scotland Yard, wakatumia Dola za Marekani 7,000,000 kuwahoji mashuhuda 300. Hata hivyo,Mkuu wa Paget Probe, zamani alikuwa Mkuu wa Scotland Yard, Lord John Stevens alishia kukaa ‘kama kamati’ na watoto wa Diana, Harry na William na kakaye,Lord Charles Spencer na dadaze wawili, wakasema haikuwa ajali ya kupangwa.ilikuwa ajali ya kibinadamu-tragic accident! Ripoti ya uchunguzi yenye jumla ya kurasa 832 haikuwa na jipya. Baba wa Dodi, Bilionea wa Kimisri, Mohammed al-Fayed akaipinga vikali tume hiyo, na kusema hadharani kwamba majasusi wa Uingereza waliwaua Dodi na Diana kwa sababu ya wivu,kuona Daiana angeolewa na Dodi. Diana na Prince Charles walishatengana tangu Desenba 9 mwaka 1992 wakapeana talaka rasmi Agosti 28 mwaka 1996. Prince Charles alishaoa kimwana mwingine, Camilla Parker Bowless, lakini Diana alifungwa kuolewa na mtu kwa sababu alikuwa wa familia ya ufalme! Mtu wa ‘Royal Family’ kama yeye hakuruhusiwa kuolewa na mtu,tena Muislam, sasa sijui kama kweli alikuwa na mimba, sasa kama Diana angezaa Mwarabu, anaye angekuwa anakuja Makao Makuu ya Malkia-Buckingham Palace, kuwasalimia nduguze, Harry na Prince William? Waingereza, walimuua Diana na Dodi,ili kutupilia mbali udhia na aibu ya warithi wa Ufalme kuwa na ndugu Mwarabu halafu Muislam. Si unajua dini ya Anglikana ndiyo dini yao na Malkia ndiye mkuu wa dini hii ya Uingereza? Sasa, hawakutaka Mwarabu azae na mke wa mwana wa Malkia, sasa tunajua Diana aliuawa kwa sababu ‘aliasi’ na kutaka kuolewa na Dodi na alikwisha kuwa na mimba changa ya miezi miwili,ikaleta taabu. Unaweza kumuuliza Mohammed al Fayed, Yule tajiri wa Kimisri, babaye Dodi,kama nasema uongo kwamba Diana aliuawa na majasusi wa Uingereza huko Paris. Ndiyo maana tunasema Uingereza hakuna demokrasia,uhuru wala Haki za Binadamu. Labda uhuru uko kwa mashoga kuvua nguo na kuandamana hadi bungeni wakiwa uchi, kuna uhuru wa wanaume kuoa na kuolewa kama Sir Elton John na David Furnish. Kuna uhuru wa maaskofu na wachungaji wa dini ya Malkia kuoana wanaume na wanawake, na wanaweza kwenda baa na vimwana na kuuchapa mtindi, halafu waumini wanapoandamana kupinga wazinzi kuwa wachungaji, maaskofu wanawatetea! Huu ndiyo uhuru ulioko Uingereza,Marekani na Ufaransa..uhuru wa kumomonyoa maadili na sheria za Bwana Mungu. www.congesmrambatoday,blogspot,com 0896/0754-324 074eti, hizi ndiyo haki za binadamu za Ulaya na Marekani? UINGEREZA, ambayo ilifanikiwa kuzikusanya nchi nyingi zilizokuwa chini ya Utawala wa Rumi, na kuzifanya makaoloni yake, imekuwa ikitawaliwa na wafalme tangu mwaka 829 A.D. Hawa wafalme, na dada zao na mabinti zao(malkia) wamewatawala Waingereza tangu karne ya tisa, Hadi leo, na hakuna raia aliyekwisha andamana kutaka utawala wa kifalme na kisultani uliodumu zaidi mya miaka 1,182 ung’olewe,ili kupisha demokrasia. Nchi hii, inayoongoza kuata kumpindua Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar al-Gaddafi, kwamba amedumu uongozini tangu mwaka 1949(umri wa miaka 42) imetawaliwa na wafalme lukuki,tangu Egbert na zama za Saxons na Danes. Mwaka 1399,Uingereza ilikuwa chini ya House of Lancaster, wakitawaliwa na Wafalme na Duke of Lancaster,hadi miaka ya 1900 wakawa chini ya Mfalme GeorgeV,Edward VIII, George VI baadaye akatawazwa Malkia Elizabeth II, ambaye ni BINTI mkubwa wa GeorgeVI. Huyu Malkia Elizabeth II alitawazwa kuwa Malkia wa Uingereza Feburuari 6,mwaka 1952 hadi leo anatawala Uingereza, na hakuna wa kuhoji mamlaka yake yaliyotamalaki hata hapa kwetu Tanzania. Serikali ya Uingereza inayoongozwa na Mawaziri wakuu,ilianzishwa ,mwaka 1721( karne tisa baada ya Mfalme wa kwanza, Egbert; wakati huo akaanza kutawala Waziri Mkuu, Sir Robert Walpole. Sir, ni cheo anachopewa mtu anayeheshimiwa sana na Familia ya kifalme.Cheo hiki, “Knighthood” ametunukiwa hata Salman Rushdie. Sir Salman Rushdie alipigwa ‘Fatwa’ na utawala wa Ayatollah Khomeini,huko Iran,hivyo hutafutwa sana auawe kwa kuikashifu dini ya Kiislam. Niachane na hayo; hayanihusu. Kutoka Sir Robert Walpole, hadi sasa David Cameron, Uingereza yapata mawaziri wakuu takriban 80 vya vyama anuwai, ambavyo aslani haviwezi kuhoji bungeni mamlaka ya Malkia. Malkia Elizabeth II ANA UMRI WA MIAKA 84, alizaliwa Aprili 21 mwaka 1926. Akifa leo, ingawa ametawala Uingereza kwa jumla ya miaka 59, atatawala mwanaye,Prince Charles, ama wajukuu zake, Prince William na Harry. Novemba 2008 Malkia na mumewe,Prince Phillip, walikuja Kampala,Uganda kuburuza mataifa lukuki hapa duniani, katika mkutano wa makoloni yao ya zamani, wao wanaita Jumuiya ya Madola, The Commonwealth. Hata Ufaransa imetawaliwa na akina Charlegne,au Charles Mkuu(742-614 AD) hadi wakati wa Jamhuri ya Tano zama za Rais Charles Andre J.M. de Gaulle(soma Chalz de Go)aliyeishi 1890-1070. Ni wakati wa akina Georges Pompidou,Valery Giscard d’ Estaing, Francois Mitterand,Jacqius Chirac hadi huyu “Mzee wa Vimwana” Nicolas Sarkozy. Nataka kusema kwamba, hizi dola kuu zilitoka mbali,kwenye tawala za kifalme,hadi leo kinachoitwa demokrasia halisi hakuna. Isipokuwa, wao wanataka wafalme wa Afrika(Gaddafi anaitwa , ‘King of Afrcan Kings’) watokomezwe. Ili, akina Malkia na wajukuu zake Harry na Prince William wabaki wakitutawala huku,kwenye Commonwealth. Malkia huyu, bado anaburuza mataifa mengi tu kama Canada, Austria, New Zealand,Jamaica,Barbados, Bahamas kwa kuyataja machache. Tena, Marekani ndiko walikoiba kura katika uchaguzi wa mwaka 2000 pale Al Gore alikaribia kushinda, wakamwibia kura. Mashabiki wake na chama chake cha Democrat walikuwa wataarabu tu,ingekuwa kwetu huku,ingekuwa kama Cote d’ Ivoire. Dola iliyodumu kwa jumla ya miaka 235 wakahesabu kura kwa mashine kasha kwa mikono, wakamnyang’anya kura AlGore, wakampa Bush. Kesi ikaenda mahakamani, mahakama ikachakachua matokeo na kumpa Bush mhula wa kwanza wa utawala. Tunajua kura za Palm Beach na Miami-Dude zilileta shida, mwezi mzima ukapita bila kujulikana mshindi. Algore alipata kura za watu wote51,000,894wakati Bush alipata 50,495,211 akaongoza Florida na kujipatia kura za ushindi za electoral 271. Nataka kuwagutua wanaoshabikia Uingereza,Marekani,UfaransamUjerumani n.k kwamba kuna demokrasia pevu,kuna uhuru na haki za binadamu(zipi?) wanazofanya hapa duniani? Mwaka 1936, Uwanja wa Olimpiki wa Berlin ulijengwa na Dikteta Adolf Hitler. Michezo ya Olimpiki ilifanywa hapo Berlun, na Hitler akawa mgeni wa heshima. Julai 9 mwaka 1936 Mwamerika Mweusi, Jesse Owens akawatioa kamasi Wazungu wote kwenye mbio na riadha. Akajipatia nishani nne za dhahabu kwa muda wa dakika 45 tu. Hitler akakasirika kuona Mweusi akishinda kila mara, wakati Wazungu hawakumwona. Yeye alijua mtu mweusi ni mnyama, kwahiyo akasusia mashindano ya Olimpiki kwa sababu mnyama, Owen, salishinda! Miaka 70 baadaye, mwaka 2006,uwanja huohuo wa Olimpiki wa Berlin,ndiko fainali za Kombe la Dunia zilikofanyika, Michael Materazzi wa Italia akamtukana Zenedine Zidane Zizou,matusi ya kibaguzi. Chukua tabia hii ya akina Hitler na Materazzi halafu uchanganye na ubaguzi wa rangi huko Afrika ya Kusini zama za Makaburu. Angalia, ubaguzi wa rangi dhidi ya akina Samuel Eto’o Fills wanaoitwa nyani, ama kawaulize akina Eric Abidal Claud Makelele,Zidane, Thiery Henry, William Gallas,Louis Saha,Patrick Vieira na wenzao waliposhindwa kuipa Ufaransa ubingwa, ilisemwa kwamba ni rangi yao Nyeusi ya mkosi! Hapa, msomaji, unaona haki gani za binadamu huko Ulaya?Agosti 2009 huko Berlin,Ujerumani, Caster Semenya(19) wa Afrika Kusini akawatoa kamasi Wazungu katika mbio za mita 800, wakamnyima ushindi, kwa madai kuwa yeye ni ‘Dume-Jike,’ Wazungu bwana! Kwa Muingereza, eti neno uhuru ni mzaha linapofika kwa Mwafrika. Mwaka 1787 mji Mkuu wa Sierra Leone, Freetown(MJI ULIO HURU)ulijengwa na Muingereza huyu kama kituo huru cha watumwa! Watumwa walijengewa mji huru wa Freetown?! Ajabu. Kifo cha Princess Diana mwaka 1997,na kuundwa kwa tume ya uchunguzi wa kifo chake, The Paget Probe, ni kielelezo kwamba Uingereza hakuna uhuru,hakuna demokrasia na haki za binadamu. Kuna ubaguzi wa rangi na ukaburu uliotamalaki. Princess Diana(36) na Dodi al Fayed(42) walikufa Agosti 31 mwaka 1997 katika Ponto de I’Alma Park,mjini Paris, Ufaransa, mahali penye njia ya chini kwa chini. Ilikuficha tetesi kwamba ‘wivu’ wa Malkia na familia yake dhidi ya Diana aliyekuwa amevuka mipaka na kutaka kuolewa na Mwarabu, Dodi, na ikasemekana alikuwa na himila changa ya miezi miwili, ndicho kitu kilichomsababishia mauti ya tashtiti. Vyombo vya usalama mjini Paris, baada ya ajali yakupangwa, vikamsingizia dereva,Henri Paul kwamba aliendesha gari kwa kasi sana, ili kuwatoroka ma-Paparazzi. Kwamba, Dodi na Diana waliutia mtindi kwa sana, hawakufunga mikanda wakati Mercedes Benz S-280 SEDAN, ilipogonga nguzo ya 13 hapo barabara ya chini na kusababisha vifo vya Diana na Dodi! Maneno yalipokuwa mengi, ikaundwa tume ya kuchunguza vifo hivi, Paget Probe iliyokuwa na wapelelezi 15 kutoka Scotland Yard, wakatumia Dola za Marekani 7,000,000 kuwahoji mashuhuda 300. Hata hivyo,Mkuu wa Paget Probe, zamani alikuwa Mkuu wa Scotland Yard, Lord John Stevens alishia kukaa ‘kama kamati’ na watoto wa Diana, Harry na William na kakaye,Lord Charles Spencer na dadaze wawili, wakasema haikuwa ajali ya kupangwa.ilikuwa ajali ya kibinadamu-tragic accident! Ripoti ya uchunguzi yenye jumla ya kurasa 832 haikuwa na jipya. Baba wa Dodi, Bilionea wa Kimisri, Mohammed al-Fayed akaipinga vikali tume hiyo, na kusema hadharani kwamba majasusi wa Uingereza waliwaua Dodi na Diana kwa sababu ya wivu,kuona Daiana angeolewa na Dodi. Diana na Prince Charles walishatengana tangu Desenba 9 mwaka 1992 wakapeana talaka rasmi Agosti 28 mwaka 1996. Prince Charles alishaoa kimwana mwingine, Camilla Parker Bowless, lakini Diana alifungwa kuolewa na mtu kwa sababu alikuwa wa familia ya ufalme! Mtu wa ‘Royal Family’ kama yeye hakuruhusiwa kuolewa na mtu,tena Muislam, sasa sijui kama kweli alikuwa na mimba, sasa kama Diana angezaa Mwarabu, anaye angekuwa anakuja Makao Makuu ya Malkia-Buckingham Palace, kuwasalimia nduguze, Harry na Prince William? Waingereza, walimuua Diana na Dodi,ili kutupilia mbali udhia na aibu ya warithi wa Ufalme kuwa na ndugu Mwarabu halafu Muislam. Si unajua dini ya Anglikana ndiyo dini yao na Malkia ndiye mkuu wa dini hii ya Uingereza? Sasa, hawakutaka Mwarabu azae na mke wa mwana wa Malkia, sasa tunajua Diana aliuawa kwa sababu ‘aliasi’ na kutaka kuolewa na Dodi na alikwisha kuwa na mimba changa ya miezi miwili,ikaleta taabu. Unaweza kumuuliza Mohammed al Fayed, Yule tajiri wa Kimisri, babaye Dodi,kama nasema uongo kwamba Diana aliuawa na majasusi wa Uingereza huko Paris. Ndiyo maana tunasema Uingereza hakuna demokrasia,uhuru wala Haki za Binadamu. Labda uhuru uko kwa mashoga kuvua nguo na kuandamana hadi bungeni wakiwa uchi, kuna uhuru wa wanaume kuoa na kuolewa kama Sir Elton John na David Furnish. Kuna uhuru wa maaskofu na wachungaji wa dini ya Malkia kuoana wanaume na wanawake, na wanaweza kwenda baa na vimwana na kuuchapa mtindi, halafu waumini wanapoandamana kupinga wazinzi kuwa wachungaji, maaskofu wanawatetea! Huu ndiyo uhuru ulioko Uingereza,Marekani na Ufaransa..uhuru wa kumomonyoa maadili na sheria za Bwana Mungu. www.congesmrambatoday,blogspot,com 0896/0754-324 074eti, hizi ndiyo haki za binadamu za Ulaya na Marekani? UINGEREZA, ambayo ilifanikiwa kuzikusanya nchi nyingi zilizokuwa chini ya Utawala wa Rumi, na kuzifanya makaoloni yake, imekuwa ikitawaliwa na wafalme tangu mwaka 829 A.D. Hawa wafalme, na dada zao na mabinti zao(malkia) wamewatawala Waingereza tangu karne ya tisa, Hadi leo, na hakuna raia aliyekwisha andamana kutaka utawala wa kifalme na kisultani uliodumu zaidi mya miaka 1,182 ung’olewe,ili kupisha demokrasia. Nchi hii, inayoongoza kuata kumpindua Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar al-Gaddafi, kwamba amedumu uongozini tangu mwaka 1949(umri wa miaka 42) imetawaliwa na wafalme lukuki,tangu Egbert na zama za Saxons na Danes. Mwaka 1399,Uingereza ilikuwa chini ya House of Lancaster, wakitawaliwa na Wafalme na Duke of Lancaster,hadi miaka ya 1900 wakawa chini ya Mfalme GeorgeV,Edward VIII, George VI baadaye akatawazwa Malkia Elizabeth II, ambaye ni BINTI mkubwa wa GeorgeVI. Huyu Malkia Elizabeth II alitawazwa kuwa Malkia wa Uingereza Feburuari 6,mwaka 1952 hadi leo anatawala Uingereza, na hakuna wa kuhoji mamlaka yake yaliyotamalaki hata hapa kwetu Tanzania. Serikali ya Uingereza inayoongozwa na Mawaziri wakuu,ilianzishwa ,mwaka 1721( karne tisa baada ya Mfalme wa kwanza, Egbert; wakati huo akaanza kutawala Waziri Mkuu, Sir Robert Walpole. Sir, ni cheo anachopewa mtu anayeheshimiwa sana na Familia ya kifalme.Cheo hiki, “Knighthood” ametunukiwa hata Salman Rushdie. Sir Salman Rushdie alipigwa ‘Fatwa’ na utawala wa Ayatollah Khomeini,huko Iran,hivyo hutafutwa sana auawe kwa kuikashifu dini ya Kiislam. Niachane na hayo; hayanihusu. Kutoka Sir Robert Walpole, hadi sasa David Cameron, Uingereza yapata mawaziri wakuu takriban 80 vya vyama anuwai, ambavyo aslani haviwezi kuhoji bungeni mamlaka ya Malkia. Malkia Elizabeth II ANA UMRI WA MIAKA 84, alizaliwa Aprili 21 mwaka 1926. Akifa leo, ingawa ametawala Uingereza kwa jumla ya miaka 59, atatawala mwanaye,Prince Charles, ama wajukuu zake, Prince William na Harry. Novemba 2008 Malkia na mumewe,Prince Phillip, walikuja Kampala,Uganda kuburuza mataifa lukuki hapa duniani, katika mkutano wa makoloni yao ya zamani, wao wanaita Jumuiya ya Madola, The Commonwealth. Hata Ufaransa imetawaliwa na akina Charlegne,au Charles Mkuu(742-614 AD) hadi wakati wa Jamhuri ya Tano zama za Rais Charles Andre J.M. de Gaulle(soma Chalz de Go)aliyeishi 1890-1070. Ni wakati wa akina Georges Pompidou,Valery Giscard d’ Estaing, Francois Mitterand,Jacqius Chirac hadi huyu “Mzee wa Vimwana” Nicolas Sarkozy. Nataka kusema kwamba, hizi dola kuu zilitoka mbali,kwenye tawala za kifalme,hadi leo kinachoitwa demokrasia halisi hakuna. Isipokuwa, wao wanataka wafalme wa Afrika(Gaddafi anaitwa , ‘King of Afrcan Kings’) watokomezwe. Ili, akina Malkia na wajukuu zake Harry na Prince William wabaki wakitutawala huku,kwenye Commonwealth. Malkia huyu, bado anaburuza mataifa mengi tu kama Canada, Austria, New Zealand,Jamaica,Barbados, Bahamas kwa kuyataja machache. Tena, Marekani ndiko walikoiba kura katika uchaguzi wa mwaka 2000 pale Al Gore alikaribia kushinda, wakamwibia kura. Mashabiki wake na chama chake cha Democrat walikuwa wataarabu tu,ingekuwa kwetu huku,ingekuwa kama Cote d’ Ivoire. Dola iliyodumu kwa jumla ya miaka 235 wakahesabu kura kwa mashine kasha kwa mikono, wakamnyang’anya kura AlGore, wakampa Bush. Kesi ikaenda mahakamani, mahakama ikachakachua matokeo na kumpa Bush mhula wa kwanza wa utawala. Tunajua kura za Palm Beach na Miami-Dude zilileta shida, mwezi mzima ukapita bila kujulikana mshindi. Algore alipata kura za watu wote51,000,894wakati Bush alipata 50,495,211 akaongoza Florida na kujipatia kura za ushindi za electoral 271. Nataka kuwagutua wanaoshabikia Uingereza,Marekani,UfaransamUjerumani n.k kwamba kuna demokrasia pevu,kuna uhuru na haki za binadamu(zipi?) wanazofanya hapa duniani? Mwaka 1936, Uwanja wa Olimpiki wa Berlin ulijengwa na Dikteta Adolf Hitler. Michezo ya Olimpiki ilifanywa hapo Berlun, na Hitler akawa mgeni wa heshima. Julai 9 mwaka 1936 Mwamerika Mweusi, Jesse Owens akawatioa kamasi Wazungu wote kwenye mbio na riadha. Akajipatia nishani nne za dhahabu kwa muda wa dakika 45 tu. Hitler akakasirika kuona Mweusi akishinda kila mara, wakati Wazungu hawakumwona. Yeye alijua mtu mweusi ni mnyama, kwahiyo akasusia mashindano ya Olimpiki kwa sababu mnyama, Owen, salishinda! Miaka 70 baadaye, mwaka 2006,uwanja huohuo wa Olimpiki wa Berlin,ndiko fainali za Kombe la Dunia zilikofanyika, Michael Materazzi wa Italia akamtukana Zenedine Zidane Zizou,matusi ya kibaguzi. Chukua tabia hii ya akina Hitler na Materazzi halafu uchanganye na ubaguzi wa rangi huko Afrika ya Kusini zama za Makaburu. Angalia, ubaguzi wa rangi dhidi ya akina Samuel Eto’o Fills wanaoitwa nyani, ama kawaulize akina Eric Abidal Claud Makelele,Zidane, Thiery Henry, William Gallas,Louis Saha,Patrick Vieira na wenzao waliposhindwa kuipa Ufaransa ubingwa, ilisemwa kwamba ni rangi yao Nyeusi ya mkosi! Hapa, msomaji, unaona haki gani za binadamu huko Ulaya?Agosti 2009 huko Berlin,Ujerumani, Caster Semenya(19) wa Afrika Kusini akawatoa kamasi Wazungu katika mbio za mita 800, wakamnyima ushindi, kwa madai kuwa yeye ni ‘Dume-Jike,’ Wazungu bwana! Kwa Muingereza, eti neno uhuru ni mzaha linapofika kwa Mwafrika. Mwaka 1787 mji Mkuu wa Sierra Leone, Freetown(MJI ULIO HURU)ulijengwa na Muingereza huyu kama kituo huru cha watumwa! Watumwa walijengewa mji huru wa Freetown?! Ajabu. Kifo cha Princess Diana mwaka 1997,na kuundwa kwa tume ya uchunguzi wa kifo chake, The Paget Probe, ni kielelezo kwamba Uingereza hakuna uhuru,hakuna demokrasia na haki za binadamu. Kuna ubaguzi wa rangi na ukaburu uliotamalaki. Princess Diana(36) na Dodi al Fayed(42) walikufa Agosti 31 mwaka 1997 katika Ponto de I’Alma Park,mjini Paris, Ufaransa, mahali penye njia ya chini kwa chini. Ilikuficha tetesi kwamba ‘wivu’ wa Malkia na familia yake dhidi ya Diana aliyekuwa amevuka mipaka na kutaka kuolewa na Mwarabu, Dodi, na ikasemekana alikuwa na himila changa ya miezi miwili, ndicho kitu kilichomsababishia mauti ya tashtiti. Vyombo vya usalama mjini Paris, baada ya ajali yakupangwa, vikamsingizia dereva,Henri Paul kwamba aliendesha gari kwa kasi sana, ili kuwatoroka ma-Paparazzi. Kwamba, Dodi na Diana waliutia mtindi kwa sana, hawakufunga mikanda wakati Mercedes Benz S-280 SEDAN, ilipogonga nguzo ya 13 hapo barabara ya chini na kusababisha vifo vya Diana na Dodi! Maneno yalipokuwa mengi, ikaundwa tume ya kuchunguza vifo hivi, Paget Probe iliyokuwa na wapelelezi 15 kutoka Scotland Yard, wakatumia Dola za Marekani 7,000,000 kuwahoji mashuhuda 300. Hata hivyo,Mkuu wa Paget Probe, zamani alikuwa Mkuu wa Scotland Yard, Lord John Stevens alishia kukaa ‘kama kamati’ na watoto wa Diana, Harry na William na kakaye,Lord Charles Spencer na dadaze wawili, wakasema haikuwa ajali ya kupangwa.ilikuwa ajali ya kibinadamu-tragic accident! Ripoti ya uchunguzi yenye jumla ya kurasa 832 haikuwa na jipya. Baba wa Dodi, Bilionea wa Kimisri, Mohammed al-Fayed akaipinga vikali tume hiyo, na kusema hadharani kwamba majasusi wa Uingereza waliwaua Dodi na Diana kwa sababu ya wivu,kuona Daiana angeolewa na Dodi. Diana na Prince Charles walishatengana tangu Desenba 9 mwaka 1992 wakapeana talaka rasmi Agosti 28 mwaka 1996. Prince Charles alishaoa kimwana mwingine, Camilla Parker Bowless, lakini Diana alifungwa kuolewa na mtu kwa sababu alikuwa wa familia ya ufalme! Mtu wa ‘Royal Family’ kama yeye hakuruhusiwa kuolewa na mtu,tena Muislam, sasa sijui kama kweli alikuwa na mimba, sasa kama Diana angezaa Mwarabu, anaye angekuwa anakuja Makao Makuu ya Malkia-Buckingham Palace, kuwasalimia nduguze, Harry na Prince William? Waingereza, walimuua Diana na Dodi,ili kutupilia mbali udhia na aibu ya warithi wa Ufalme kuwa na ndugu Mwarabu halafu Muislam. Si unajua dini ya Anglikana ndiyo dini yao na Malkia ndiye mkuu wa dini hii ya Uingereza? Sasa, hawakutaka Mwarabu azae na mke wa mwana wa Malkia, sasa tunajua Diana aliuawa kwa sababu ‘aliasi’ na kutaka kuolewa na Dodi na alikwisha kuwa na mimba changa ya miezi miwili,ikaleta taabu. Unaweza kumuuliza Mohammed al Fayed, Yule tajiri wa Kimisri, babaye Dodi,kama nasema uongo kwamba Diana aliuawa na majasusi wa Uingereza huko Paris. Ndiyo maana tunasema Uingereza hakuna demokrasia,uhuru wala Haki za Binadamu. Labda uhuru uko kwa mashoga kuvua nguo na kuandamana hadi bungeni wakiwa uchi, kuna uhuru wa wanaume kuoa na kuolewa kama Sir Elton John na David Furnish. Kuna uhuru wa maaskofu na wachungaji wa dini ya Malkia kuoana wanaume na wanawake, na wanaweza kwenda baa na vimwana na kuuchapa mtindi, halafu waumini wanapoandamana kupinga wazinzi kuwa wachungaji, maaskofu wanawatetea! Huu ndiyo uhuru ulioko Uingereza,Marekani na Ufaransa..uhuru wa kumomonyoa maadili na sheria za Bwana Mungu. www.congesmrambatoday,blogspot,com 0896/0754-324 074


 eti, hizi ndiyo haki za binadamu za Ulaya na Marekani

UINGEREZA, ambayo ilifanikiwa kuzikusanya nchi nyingi zilizokuwa chini ya Utawala wa Rumi, na kuzifanya  makaoloni yake, imekuwa ikitawaliwa na wafalme tangu mwaka 829 A.D.
   Hawa wafalme, na dada zao na mabinti zao(malkia) wamewatawala Waingereza tangu karne ya tisa,
 Hadi leo, na hakuna raia aliyekwisha andamana kutaka utawala wa kifalme na kisultani uliodumu zaidi mya miaka 1,182 ung’olewe,ili kupisha demokrasia.
 Nchi hii, inayoongoza kuata kumpindua Kiongozi wa Libya, Kanali Muammar al-Gaddafi, kwamba amedumu uongozini tangu mwaka 1949(umri wa miaka 42) imetawaliwa na wafalme lukuki,tangu Egbert na zama za Saxons na Danes.
  Mwaka 1399,Uingereza ilikuwa chini ya House of Lancaster, wakitawaliwa na Wafalme  na Duke of Lancaster,hadi miaka ya 1900  wakawa chini ya Mfalme GeorgeV,Edward VIII, George VI baadaye akatawazwa Malkia Elizabeth II, ambaye ni BINTI mkubwa wa GeorgeVI.
 Huyu Malkia Elizabeth II alitawazwa kuwa Malkia wa Uingereza Feburuari 6,mwaka 1952 hadi leo anatawala Uingereza, na hakuna wa kuhoji mamlaka yake yaliyotamalaki hata hapa kwetu Tanzania.
   Serikali ya Uingereza inayoongozwa na Mawaziri wakuu,ilianzishwa ,mwaka 1721( karne tisa baada ya Mfalme wa kwanza, Egbert; wakati huo akaanza kutawala Waziri Mkuu,  Sir Robert Walpole.
 Sir, ni cheo anachopewa mtu anayeheshimiwa sana na Familia ya kifalme.Cheo hiki, “Knighthood” ametunukiwa hata Salman Rushdie. Sir Salman Rushdie alipigwa ‘Fatwa’ na utawala wa Ayatollah Khomeini,huko Iran,hivyo hutafutwa sana auawe kwa kuikashifu dini ya Kiislam. Niachane na hayo; hayanihusu.
  Kutoka Sir Robert Walpole, hadi sasa David Cameron, Uingereza yapata mawaziri wakuu takriban 80 vya vyama anuwai, ambavyo aslani haviwezi kuhoji bungeni mamlaka ya Malkia. Malkia Elizabeth II ANA UMRI WA MIAKA 84, alizaliwa Aprili 21 mwaka 1926.
 Akifa leo, ingawa ametawala Uingereza kwa jumla ya miaka 59, atatawala mwanaye,Prince Charles, ama wajukuu zake, Prince William na Harry.
Novemba 2008 Malkia na mumewe,Prince Phillip, walikuja Kampala,Uganda kuburuza mataifa lukuki hapa duniani, katika mkutano wa makoloni yao ya zamani, wao wanaita Jumuiya ya Madola, The Commonwealth.
 Hata Ufaransa imetawaliwa na akina Charlegne,au Charles Mkuu(742-614 AD) hadi wakati wa Jamhuri ya Tano zama za Rais Charles Andre J.M. de Gaulle(soma Chalz de Go)aliyeishi 1890-1070.                           Ni wakati wa akina Georges Pompidou,Valery Giscard d’ Estaing, Francois Mitterand,Jacqius Chirac hadi huyu “Mzee wa Vimwana” Nicolas Sarkozy.
 Nataka kusema kwamba, hizi dola kuu zilitoka mbali,kwenye tawala za kifalme,hadi leo kinachoitwa demokrasia halisi hakuna.
 Isipokuwa, wao wanataka wafalme wa Afrika(Gaddafi anaitwa , ‘King of Afrcan Kings’) watokomezwe.
Ili, akina Malkia na wajukuu zake Harry na Prince William wabaki wakitutawala huku,kwenye Commonwealth.
  Malkia huyu, bado anaburuza mataifa mengi tu kama Canada, Austria, New Zealand,Jamaica,Barbados, Bahamas kwa kuyataja machache.
 Tena, Marekani ndiko walikoiba kura katika uchaguzi wa mwaka 2000 pale Al Gore alikaribia kushinda, wakamwibia kura. Mashabiki wake na chama chake cha Democrat walikuwa wataarabu tu,ingekuwa kwetu huku,ingekuwa kama Cote d’ Ivoire.
 Dola iliyodumu kwa jumla ya miaka 235 wakahesabu kura kwa mashine kasha kwa mikono, wakamnyang’anya kura AlGore, wakampa Bush. Kesi ikaenda mahakamani, mahakama ikachakachua matokeo na kumpa Bush mhula wa kwanza wa utawala.
  Tunajua kura za Palm Beach na Miami-Dude zilileta shida, mwezi mzima ukapita bila kujulikana mshindi. Algore alipata kura za watu wote51,000,894wakati Bush alipata 50,495,211 akaongoza Florida na kujipatia kura za ushindi za electoral 271.
  Nataka kuwagutua wanaoshabikia Uingereza,Marekani,UfaransamUjerumani n.k kwamba kuna demokrasia pevu,kuna uhuru na haki za binadamu(zipi?) wanazofanya hapa duniani?
Mwaka 1936, Uwanja wa Olimpiki wa Berlin ulijengwa na Dikteta Adolf Hitler. Michezo ya Olimpiki ilifanywa hapo Berlun, na Hitler akawa mgeni wa heshima.
 Julai 9 mwaka 1936 Mwamerika Mweusi, Jesse Owens  akawatioa kamasi Wazungu wote kwenye mbio na riadha. Akajipatia nishani nne za dhahabu kwa muda wa dakika 45 tu. Hitler akakasirika kuona Mweusi akishinda kila mara, wakati Wazungu hawakumwona. Yeye alijua mtu mweusi ni mnyama, kwahiyo akasusia mashindano ya Olimpiki kwa sababu mnyama, Owen, salishinda!
Miaka 70 baadaye, mwaka 2006,uwanja huohuo wa Olimpiki wa Berlin,ndiko fainali za Kombe la Dunia zilikofanyika, Michael Materazzi wa Italia akamtukana Zenedine Zidane Zizou,matusi ya kibaguzi.
Chukua tabia hii ya akina Hitler na Materazzi halafu uchanganye na ubaguzi wa rangi huko Afrika ya Kusini zama za Makaburu.
  Angalia, ubaguzi wa rangi dhidi ya akina Samuel  Eto’o Fills wanaoitwa nyani, ama kawaulize akina Eric Abidal Claud Makelele,Zidane, Thiery Henry, William Gallas,Louis Saha,Patrick Vieira na wenzao waliposhindwa kuipa Ufaransa ubingwa, ilisemwa kwamba ni rangi yao Nyeusi ya mkosi!
 Hapa, msomaji, unaona haki gani za binadamu huko Ulaya?Agosti 2009 huko  Berlin,Ujerumani, Caster Semenya(19) wa Afrika Kusini akawatoa kamasi Wazungu katika mbio za mita 800, wakamnyima ushindi, kwa madai kuwa yeye ni ‘Dume-Jike,’ Wazungu bwana!
 Kwa Muingereza, eti neno uhuru ni mzaha linapofika kwa Mwafrika. Mwaka 1787 mji Mkuu wa Sierra Leone, Freetown(MJI ULIO HURU)ulijengwa na Muingereza huyu kama kituo huru cha watumwa! Watumwa walijengewa mji huru wa Freetown?! Ajabu.
Kifo cha Princess Diana mwaka 1997,na kuundwa kwa tume ya uchunguzi wa kifo chake, The Paget Probe, ni kielelezo kwamba Uingereza hakuna uhuru,hakuna demokrasia na haki za binadamu. Kuna ubaguzi wa rangi na ukaburu uliotamalaki.
Princess Diana(36) na Dodi al Fayed(42) walikufa Agosti 31 mwaka 1997 katika Ponto de I’Alma Park,mjini Paris, Ufaransa, mahali penye njia ya chini kwa chini.
 Ilikuficha tetesi kwamba ‘wivu’ wa Malkia na familia yake dhidi ya Diana aliyekuwa amevuka mipaka na kutaka kuolewa na Mwarabu, Dodi, na ikasemekana alikuwa na himila changa ya miezi miwili, ndicho kitu kilichomsababishia mauti ya tashtiti.
  Vyombo vya usalama mjini Paris, baada ya ajali yakupangwa, vikamsingizia dereva,Henri Paul kwamba aliendesha gari kwa kasi sana, ili kuwatoroka ma-Paparazzi.
Kwamba, Dodi na Diana waliutia mtindi kwa sana, hawakufunga mikanda wakati Mercedes Benz S-280 SEDAN, ilipogonga nguzo ya 13 hapo barabara ya chini na kusababisha vifo vya Diana na Dodi!
   Maneno yalipokuwa mengi, ikaundwa tume ya kuchunguza vifo hivi, Paget Probe iliyokuwa na wapelelezi 15 kutoka Scotland Yard, wakatumia Dola za Marekani 7,000,000 kuwahoji mashuhuda 300.
 Hata hivyo,Mkuu wa Paget Probe, zamani alikuwa Mkuu wa Scotland Yard, Lord John Stevens alishia kukaa ‘kama kamati’ na watoto wa Diana, Harry na William na kakaye,Lord Charles Spencer na dadaze wawili, wakasema haikuwa ajali ya kupangwa.ilikuwa ajali ya kibinadamu-tragic accident!
 Ripoti ya uchunguzi yenye jumla ya kurasa 832 haikuwa na jipya. Baba wa Dodi, Bilionea wa Kimisri, Mohammed al-Fayed akaipinga vikali tume hiyo, na kusema hadharani kwamba majasusi wa Uingereza waliwaua Dodi na Diana kwa sababu ya wivu,kuona Daiana angeolewa na Dodi.
  Diana na Prince Charles walishatengana  tangu Desenba 9 mwaka 1992 wakapeana talaka rasmi Agosti 28 mwaka 1996.
Prince Charles alishaoa kimwana mwingine, Camilla Parker Bowless, lakini Diana alifungwa kuolewa na mtu kwa sababu alikuwa wa familia ya ufalme!
 Mtu wa ‘Royal Family’ kama yeye hakuruhusiwa kuolewa na mtu,tena Muislam, sasa sijui kama kweli alikuwa na mimba, sasa kama Diana  angezaa Mwarabu, anaye angekuwa anakuja Makao Makuu ya Malkia-Buckingham Palace, kuwasalimia nduguze, Harry na Prince William?
Waingereza, walimuua Diana na Dodi,ili kutupilia mbali udhia na aibu ya warithi wa Ufalme kuwa na ndugu Mwarabu halafu Muislam.
 Si unajua dini ya Anglikana ndiyo dini yao na Malkia ndiye mkuu wa dini hii ya Uingereza? Sasa, hawakutaka Mwarabu azae na mke wa mwana wa Malkia, sasa tunajua Diana aliuawa kwa sababu ‘aliasi’ na kutaka kuolewa na Dodi na alikwisha kuwa na mimba changa ya miezi miwili,ikaleta taabu.
 Unaweza kumuuliza Mohammed al Fayed, Yule tajiri wa Kimisri, babaye Dodi,kama nasema uongo kwamba Diana aliuawa na majasusi wa Uingereza huko Paris.
 Ndiyo maana tunasema Uingereza hakuna demokrasia,uhuru wala Haki za Binadamu. Labda uhuru uko kwa mashoga kuvua nguo na kuandamana hadi bungeni wakiwa uchi, kuna uhuru wa wanaume kuoa na kuolewa kama Sir Elton John na David Furnish.
 Kuna uhuru wa maaskofu na wachungaji wa dini ya Malkia kuoana wanaume na wanawake, na wanaweza kwenda baa na vimwana na kuuchapa mtindi, halafu waumini wanapoandamana kupinga wazinzi kuwa wachungaji, maaskofu wanawatetea!
 Huu ndiyo uhuru ulioko Uingereza,Marekani na Ufaransa..uhuru wa kumomonyoa maadili na sheria za Bwana Mungu.
        
            0896/0754-324 074


 
Top of Form
Bottom of Form
Top of Form
Bottom of Form
Top of Form
Bottom of Form
Top of Form
Bottom of Form
|
Top of Form
Bottom of Form
Top of Form
Bottom of Form
Top of Form
http://ads.bluelithium.com/pixel?id=766023&t=2
Top of Form
Bottom of Form

Monday, April 11, 2011

SOKOINE ALIWAMBWA MSALABANI DAKAWA MOROGORO

 
 NI SAA 4:30 hivi, asubuhi. Alhamisi, Aprili 12 mwaka 1984, Sokoine anatoka ofisini kweke mjini Dodoma , anaingia garini kwake, na kumwambia dereva kuwasha moto.
  Alikuwa mbioni kuanza safari kwenda Dar es salaam , baada ya kikao cha Bunge hapo Dodoma.
Mmoja wa wasaidizi wake, Harace Kolimba(naye sasa Marehemu), alikuwepo nje ya ofisi hiyo.
   “Kolimba”, anasema Sokoine, “Lini utakwenda Dar es salaam ? Ingia ndani ya gari twende”.
   “Nina tiketi ya ndege Mzee”, Kolimba anamwambia Waziri Mkuu, “Nitakuja mchana”.
     “Okay”, Sokoine anajibu; kisha akasema, “Tutaonana Dar es salaam ”.
   Baada ya kitambo, msafara wa Waziri Mkuu ukatimua vumbi kuelekea Dar. Hayati Sokoine hakufika mwisho wa safari yake.
   Umbali wa kama kilomita 40 Mashariki mwa Morogoro(Dakawa) gari aina ya Land Cruiser, iliyokuwa ikiendeshwa na mmoja wa wapigania uhuru wa Chama cha African National  Congress(ANC) cha Afrika Kusini, Dumisani Dube(23) akaingilia msafara wa Waziri Mkuu, akamgonga! Ilikuwa saa saba za mchana.
    Alipomgonga, akasababisha kifo chake. Kifo cha Sokoine kilisababishwa na ajali ya gari. Pengine, angesafiri kwa ndege, kama Kolimba, au kama wasafirivyo vigogo wetu leo, asingesafiri namna hiyo.
    Naam. Sokoine hakutaka kusafiri kwa madege ya fahari kwenda Dar es salaam. Alitaka kusafiri kama wasafirivyo Watanzania wengine.
  Kila Mtanzania, anajua anavyopitia makorongo na mahandaki mabarabarani. Wanaosafiri kwa ndege, hawajui adha za usafiri katika barabara za makorongo na mahandaki, za nchi hii.
   Nchi hii, hususan vijijini, kuna makorongo mabarabarani. Wabunge, madiwani na vigogo wetu, hata vijijini hawaendi; wanafika wakati wa msimu wa uchaguzi. Sokoine, alisafiri kama wasafirivyo Watanzania wengine; alijitolea mhanga maisha yake, kutumikia walalahoi na waamka hoi.
  Kama vigogo wetu leo wangekuwa wanaishi kama Hayati Moringe Edward Sokoine, basi hata ndege ya Rais, Gulf Stream 550 isingenunuliwa kwa bilioni 40, wakati barabara zikiwa mahandaki na mashimo matupu. Bila shaka, majengo  pacha ya BoT yaliyojengwa kwa  mabilioni ya utata, yasingekuwepo.Kashfa za EPA na Richmond nazo zisingekuwepo.
   Kama vigogo wetu wangemuenzi Sokoine hata kwa asilimia 27 tu(miaka iliyopita tangu afariki) Watanzania wasingekula majani na mizizi ya sumu, kwa kukosa chakula. Vigogo wetu walikuwa hawaachi kusisitiza, “Hata wananchi mle majani, lazima ndege ya Rais inunuliwe!” Kuna madaraja ya mabwana na watwana; watawala na watawaliwa.
   Naam; Watanzania tumemkumbuka hayati Sokoine Jumanne, Aprili 12 iliyopita
.Alikutwa na mauti Alhamisi, Aprili 12 mwaka 1984. ‘Bunduki kali’ dhidi ya wazembe, wezi na wahujumu uchumi ilitoweka ghafla, hadi sasa hakuna mbadala; hatuna spea.
 Aprili, ni mwezi wa kumbukumbu ya mauaji ya miamba duniani. Rais Abraham Lincoln wa Marekani,  Mpigania haki za Weusi wa Marekani,Martin Luther King Jr. alikufa Aprili. Rais William R. Tolbert wa Liberia, alichinjwa Aprili 12 mwaka 1980 katika mapinduzi yaliyomweka Samuel Doe madarakani.
   Pia, Aprili 6, mwaka 1994 Cyprien Ntaryamira wa Burundi na Juvenal Habyarimana wa Rwanda , waliuawa katika ajali ya ndege, ukawa mwanzo wa siku 100 za mauaji ya kimbari Rwanda . Aprili, ni mwezi wa majonzi kwa wapenda haki duniani.
 Miaka 27 ni mingi, waliokuwa watoto hawamjui Sokoine,  ‘bunduki kali’ dhidi ya wazembe, wezi wa mali ya umma, wahujumu uchumi na walarushwa.
Bunduki kubwa(Big Gun) iliyoharibika baada ya kugongwa na Land Cruiser.
 Sokoine alikuwa akisafiria, Mercedes Benz -Saloon,  iliyokuwa ikipeperusha Bendera ya Taifa, alipogongwa na kuuawa.
    Aliwasha mwanga wa kijani kwa masikini, kupita na kuendea maisha afadhali, wakati huo nchi ikitoka vitani kupambana na Nduli Idi Amin Dada wa Uganda, aliyekuwa akifadhaliwa na akina Muammar Gaddafi, wakati alipoivamia nchi yetu.
   Bahati mbaya, mwanga wa macho ya masikini ulitoweka Dakawa, Morogoro, mafisadi na majahili wanaosemwa leo wakaanza kutamba! Paka akitoka, panya hujitawala. Laiti angekuwepo…mafuriko ya ufisadi yangepita mbali.
    Enzi za uhai wake alisema,
 “Viongozi wazembe, wabadhirifu wahesabu siku zao…labda tusiwajue. Hawa, hatuna sababu ya kuwapa imani kuwa tutawalinda katika vitendo vyao viovu”. Ilikuwa Machi 26 mwaka 1983, katika Semina ya Viongozi wa Serikali na Mashirika ya umma.
 Leo, semina za hawa ni za kugawana posho; hazina maonyo makali.
    “Ole wake kiongozi mzembe na asiye nidhamu nitakayemkuta! Kiongozi wa siasa hana usalama wa aina yoyote…usalama wake ni kudra ya Mwenyezi Mungu na wananchi peke yake!”Alisisitiza hayati Sokoine. 
Huyu ndiye kipenzi cha watu. Kauli za ‘ole’ namna hii ziko wapi leo? Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, viatu vya mtu huyu vitamwenea?
   Tangu Sokoine afe, tumeona ulegevu wa hali ya juu, mafisadi wamezidi kutamba. 
Bunge, ingawa la vyama vingi, limekosa meno, yakaota ya plastiki; likageuka watia mhuri tu(rubber-stamp) wa watawala; maslahi ya wengi yamepotezwa.
   Mtu huyu, Saokoine, maisha yake yalikuwa kielelezo cha maisha safi ya utumishi wa umma; sumu kali dhidi ya mafisadi, walanguzi, wazembe, wala rushwa, majambazi wa kila rangi, enzi hizo za ulanguzi wa mali ya umma…hata leo walanguzi wapo wametamalaki. Nchi ni dampo la magendo, bidhaa na pesa bandia. Ah…tunamlilia Sokoine.
    Tumeamua kuandika katika mraba huu, kuwakumbusha wanaojilazimisha kumsahau Sokoine, watoto na vijana waliokuwa hawajazaliwa, wasiomjua vizuri na wenye  ‘akili zenye matege’ -kwamba uadilifu wake ni karipio tosha kwa viongozi wa kizazi hiki.
   Tumevunja viambaza vya woga, kusema Sokoine alikuwa bunduki kubwa(Big Gun),kali, dhidi ya mafisadi, wazembe, walanguzi wa mali ya umma, wadokozi, wala rushwa na mafisadi wa kila mbari, kila rangi na kila daraja.
   Enzi zile za ‘Big- Gun’ Sokoine, aliwakemea walanguzi akiwa Dar es salaam , wakarejesha mali walizopora…walizitupa baharini, barabarani, kichakani ama mtoni! Hata vijijini, mali za umma zilitupwa vichakani, mali za magendo zilitapikwa na wahujumu uchumi; wahusika wakichelea kukutwa na ‘Ole’ ya Sokoine!
    Walisoma maandishi ukutani, yaliyoandikwa na mtu huyu shujaa, “Mene Mene Tekeli na Peresi!” kuashiria milki ya mafisadi kutoweka ili amani itawale. Hakukuwa na kuwakingia wezi kifua, hata kama walivaa kijani!
    Tanzania inamhitaji leo kiongozi kama huyu, kuliko wakati wowote. Ili , azime jeuri ya mafisadi waliotamalaki, wengine hawajui na hawajui kuwa hawajui wanahujumu uchumi wa  nchi. Nao wanaimba, ‘mafisadii!” 
Na laiti wangekutwa na Sokoine!
    Hawajui, tena hawajui kuwa hawajui kwamba uongozi ni dhamana ya wananchi. Wao, wanajua fedha zao ndizo zinazowaweka madarakani, zinazowapa vyeo n.k Hawa, wanaoficha mabilioni katika mabenki ya visiwa vya Uingereza!
   Mtu huyu, Edward Moringe Sokoine, ‘alipiga ngoma’, akiwa Dar es salaam , ikatetemesha nchi yote- hata mafisadi wakaicheza! Vumbi likatua, na tufani za kisiasa(political storm) zikapisha njia. 
Tunamtaka mtu huyu ainuke kutoka majivu(rise from ashes) aje kurejesha tumaini lililopotea.
  Sokoine alizaliwa mwaka 1938 katika wilaya ya Monduli, Arusha. Baaada ya kumaliza masomo yake katika shule ya Sekondari ya Old Moshi(Kilimanjaro) aliajiriwa kama ofisa Utawala wa Halmashauri ya wilaya ya Maasai. Alifanya kazi hadi 1965. Alichaguliwa mbunge wa Monduli, 1965 hadi alipofariki dunia.
   Kuanzia 1967 alipanda vyeo serikalini; tangu Naibu Waziri hadi Waziri Mkuu. Aliwahi kuwa  Naibu Waziri wa Mawasiliano na Ujenzi, Naibu Waziri wa Kazi na Ustawi wa Jamii.
 Alikuwa Waziri  wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa mwaka 1972. Alikuwa Waziri Mkuu mwaka 1977, akibadilishana na Rashid Mfaume Kawawa.
   Alijiuzulu uwaziri Mkuu mwaka1980,kwa sababu ya afya mbaya; akampisha Cleopa David Msuya. Kipindi hiki alikwenda Bulgaria kusoma. Alirejeshewa wadhifa wa Uwaziri Mkuu mwaka 1983, wadhifa alioshikilia kwa ukamilifu hadi mauti yalipomkumba.Hii ndiyo ‘bunduki kali’ dhidi ya mafisadi, iliyoharibika Dakawa Morogoro, haijapata kipuri.
  Tangazo la vita kali dhidi ya mafisadi-wahujumu uchumi-alilitoa Feburuali 27 mwaka 1984. 
Alikuwa adui mkubwa wa hawa mafisadi na wala rushwa, wafanya magendo ambao leo wanajidai wafadhili wa chama,  naam waleta bidhaa bandia wanaojitia kukifadhili chama.Waendesha biashara haramu, wanaojipenyeza kila mahali ili kulinda biashara zao.
 Laiti Sokoine angekuwepo leo…hawa wangejitosa mto Pangani, Ruvuma , Ruvu, Mara, Kagera na Maragarasi, kwa pamoja!
   Alipofoka akiwa Dar es salaam wakatupa magunia ya fedha walizoiba. Walitupa mafriji, ma-TV, baharini, Musoma walitupa magunia ya ushirika vichakani…walichelea kukutwa na mtu huyu, kiboko ya mafisadi… naam, ‘Big-Gun’ Moringe Sokoine!
 Hata vibaka na machangudoa ‘waliicheza ngoma’ ya Sokoine kwa kicho.Alipo ‘kohoa’ nchi ikatetema, wala rushwa wakaogopa…wakatetemeka hadi kutabawali. Tunamlilia Sokoine, ‘kiboko’ ya mafisadi!
   Enzi hizo zimepita. Wajanja wamesoma na kupata ‘digrii’ nyingi za maarifa na ujuzi wa sheria. Na ndio wenye nyadhifa kubwa,lakini waporaji.
   Tunadhani, Rais Jakaya Kikwete hataweza kuwasweka kizuizini hawa wajanja-pasipo sheria. 
Hata mafisadi wa Richmond na EPA, hawatakabiliwa kwa staili ya Sokoine-ya kuwasweka kizuizini, pasipo ushahidi.Si unakumbuka walikimbilia mahakamani serikali ikawalipa fidia ya mabilioni?
   Kuna sheria nyingi,  uhuru wa mahakama na ule wa watuhumiwa. Shime ,sheria ichukue mkondo wake kwa haki, ili kuwaondoa hawa wezi, walanguzi, wahujumu na majahili waitwao mafisadi.Hatutarajii kukurupuka, maana maarifa yameongezeka sasa kuliko wakati ule.
 Wakati  fulani, Augostino Lyatonga Mrema, viatu vya Sokoine vilikaribia kumwenea; naye akatoweka na kuchechema, kama si kufa kifo cha mende-mafisadi wakazidi kutamba! Nani kama Sokoine sasa?
   Tuna simanzi, Edward Ngoyai Lowassa, kashindwa kuvaa viatu vya Edward Moringe Sokoine. Kila mtu atahukumiwa na historia.
  Pengine, tunataraji, Jakaya Kikwete(J.K) anaweza kuvaa viatu vya Julius Kambarage(J.K) Nyerere, sasa vikamwenea, na wafanyabiashara waliokimbilia siasa, ili kutafuta vyeo,wakati ni mafisadi na wahujumu uchumi, watazimwa. Viatu vya JK Nyerere vitamwenea JK Mrisho, au vitampwaya? 
Twangoja kusoma historia.
  0754\0786-324 074,
 congesdaima@yahoo.com