Tuesday, September 17, 2013

CARLOS THE JACKAL



 
Nianze kujadili kidogo kuanguka kwa ukuta wa Berlin mwaka 1994,kwamba kuliashiria kumalizika kwa VITA BARIDI,baada ya Vita vikuu vya Pili vya Dunia 1945.
 Kumalizika kwa vita Baridi,vilivyoanza baada ya vita vya pili kwisha, maana yake ni kuufagilia mbali UKOMUNISTI.Dola la Urusi la Kisovieti(USSR) liliparaganyika tangu mwaka 1991.
Ukuta wa Berlin ulioitenga dunia katika Mihimili miwili ya Magharibi na Mashariki ulishavunjwa na kuifanya dunia kuwa kama kijiji kimoja. Kuanguka kwa Ukuta wa Berlin na Kuparaganyika kwa Dola la Kisovieti la Urusi(USSR) ni kuonesha kwamba ubepari ulikuwa umeushinda ujamaa duniani.
 Tunaishi katika zama za MWENYE NGUVU MPISHE.Kuanguka kwa ukuta wa Berlin na UKOMUNISTI maana yake ni kwamba “Mto Frati” uliokuwa ukiitenda dunia ya zama za Waisraeli kati ya Mashariki na Magharibi, ulikuwa umeanza ‘kukaushwa’.
Mchakato wa kukaushwa maji ya Mto Frati(the dries up process of the River Euphrates) ulishaanza,ili njia itengenezwe wafalme watokao nji za Mashariki(UCHINA,INDIA,JAPAN n.k) wapite na kwenda kuungana na madola ya Magharibi. Tumeona mataifa ya Kisovieti yakijiunga NATO na Umoja wa Ulaya EU.
 Tumeona, Uchina,Urusi, Japan,Korea Kusini,Pakistan,India n.k wakishirikiana na Mataifa ya NATO hata kutoa ardhi zao kwa majeshi ya NATO na mashirika ya kijasusi kama CIA na MOSSAD kutekeleza Operesheni anuwai za kijeshi.
Tumeona nchi za Kiarabu zikigeuza ardhi zao kuwa Base za kijeshi za Marekani na washirika wake, tunaona juhudi za mataifa ya Mashariki hata kujiunga umoja wa sarafu moja ya Euro-Euro Zone , tunaona juhudi za Mashariki kushiriki Soko la Pamoja Ulaya European Common Market n.k
 Ufunuo 16:12-16 huonesha wazi kwamba nchi za Kisovieti na zingine za Mashariki na mrengo wa kijamaa, zitaungana na Ulaya na Marekani, na zitaachana na imani zao na ibada zao na kwenda kuungana na roho za  mashetani, za Freemasons na Illuminati,ndiyo ROHO ZA VYURA na manabii wa Uongo(Ufunuo 16:13-16)
 Har-Magedon, ni vita dhidi ya Mungu na Amri 10. Mataifa yote ya Dunia yataungana ili kumpinga Mungu,yataungana na Ibilisi kwa misingi ya kusaka uhuru na demokrasia.Pepo wachafu wataungana na wanadamu ili kukataa mafundisho ya Mungu na maagizo yake,wanaanzia kwenye kanuni za ndoa na imani ya kweli.
 Dunia nzima itaungana kiuchumi,kisiasa, na wale waliokuwa na itikadi za Carl Marx(Marxists) wataondolewa kwa nguvu kubwa.
Hadithi ya Illich Ramirez Sanchez(Carlos The Jackal) inatuonesha namna hawa Wa-Marx walivyoshindwa na ubepari.
Carlos The Jackal(63) alizaliwa Caracas,Venezuela mwaka 1949.
Babaye alikuwa mfuasi wa siasa za Karl Marx akawahusudu mno wanamapinduzi wa Amerika Kusini: Carlos Merighella, Camillo Torres na Che Guevara.
Carlos, ni mfano wa Osama bin Laden wa zama hizo, alipinga ubeberu wa Magharibi kwa njia ya nguvu za kigaidi,Mungu hataki kutumia njia hizo ili kuleta haki duniani.
 Alisoma katika Chuo cha kijeshi cha Mantanzas huko Havana,Cuba na akatokea kuwa Komandoo kutokana na walimu wa medani za kijeshi wa                   Urusi.
 Babaye hakumwamini Mungu na mamaye alikuwa Mkatoliki,wakaachana. Carlos alikwenda London, baadaye akapelekwa kkusoma katika Chuo Kikuu cha wanamapinduzi cha Patrice Lumumba,huko Moscow.
 Carlos, alikuwa ‘troublemarker’ dhidi ya maslahi ya mabeberu wa Magharibi. Akajiunga na Chama cha Popular Front for The Liberation of  Palestine(PFLP) Wakateka nyara watu na ndege za Magharibi ili kudai uhuru wa Palestina.
 Carlos, alijiunga na PFLP mwaka 1970 akapewa jina la Carlos kwa sababu ya asili yake ya Venezuela, Amerika ya Kusini.
 Aliitwa, The Jackal na gazeti la The Guardian la Uingereza kufuatia kisasiri(novel) cha Mwandishi Fredrick Forsyth.

 Nianze kujadili kidogo kuanguka kwa ukuta wa Berlin mwaka 1994,kwamba kuliashiria kumalizika kwa VITA BARIDI,baada ya Vita vikuu vya Pili vya Dunia 1945.
 Kumalizika kwa vita Baridi,vilivyoanza baada ya vita vya pili kwisha, maana yake ni kuufagilia mbali UKOMUNISTI.Dola la Urusi la Kisovieti(USSR) liliparaganyika tangu mwaka 1991.
Ukuta wa Berlin ulioitenga dunia katika Mihimili miwili ya Magharibi na Mashariki ulishavunjwa na kuifanya dunia kuwa kama kijiji kimoja. Kuanguka kwa Ukuta wa Berlin na Kuparaganyika kwa Dola la Kisovieti la Urusi(USSR) ni kuonesha kwamba ubepari ulikuwa umeushinda ujamaa duniani.
 Tunaishi katika zama za MWENYE NGUVU MPISHE.Kuanguka kwa ukuta wa Berlin na UKOMUNISTI maana yake ni kwamba “Mto Frati” uliokuwa ukiitenda dunia ya zama za Waisraeli kati ya Mashariki na Magharibi, ulikuwa umeanza ‘kukaushwa’.
Mchakato wa kukaushwa maji ya Mto Frati(the dries up process of the River Euphrates) ulishaanza,ili njia itengenezwe wafalme watokao nji za Mashariki(UCHINA,INDIA,JAPAN n.k) wapite na kwenda kuungana na madola ya Magharibi. Tumeona mataifa ya Kisovieti yakijiunga NATO na Umoja wa Ulaya EU.
 Tumeona, Uchina,Urusi, Japan,Korea Kusini,Pakistan,India n.k wakishirikiana na Mataifa ya NATO hata kutoa ardhi zao kwa majeshi ya NATO na mashirika ya kijasusi kama CIA na MOSSAD kutekeleza Operesheni anuwai za kijeshi.
Tumeona nchi za Kiarabu zikigeuza ardhi zao kuwa Base za kijeshi za Marekani na washirika wake, tunaona juhudi za mataifa ya Mashariki hata kujiunga umoja wa sarafu moja ya Euro-Euro Zone , tunaona juhudi za Mashariki kushiriki Soko la Pamoja Ulaya European Common Market n.k
 Ufunuo 16:12-16 huonesha wazi kwamba nchi za Kisovieti na zingine za Mashariki na mrengo wa kijamaa, zitaungana na Ulaya na Marekani, na zitaachana na imani zao na ibada zao na kwenda kuungana na roho za  mashetani, za Freemasons na Illuminati,ndiyo ROHO ZA VYURA na manabii wa Uongo(Ufunuo 16:13-16)
 Har-Magedon, ni vita dhidi ya Mungu na Amri 10. Mataifa yote ya Dunia yataungana ili kumpinga Mungu,yataungana na Ibilisi kwa misingi ya kusaka uhuru na demokrasia.Pepo wachafu wataungana na wanadamu ili kukataa mafundisho ya Mungu na maagizo yake,wanaanzia kwenye kanuni za ndoa na imani ya kweli.
 Dunia nzima itaungana kiuchumi,kisiasa, na wale waliokuwa na itikadi za Carl Marx(Marxists) wataondolewa kwa nguvu kubwa.
Hadithi ya Illich Ramirez Sanchez(Carlos The Jackal) inatuonesha namna hawa Wa-Marx walivyoshindwa na ubepari.
Carlos The Jackal(63) alizaliwa Caracas,Venezuela mwaka 1949.
Babaye alikuwa mfuasi wa siasa za Karl Marx akawahusudu mno wanamapinduzi wa Amerika Kusini: Carlos Merighella, Camillo Torres na Che Guevara.
Carlos, ni mfano wa Osama bin Laden wa zama hizo, alipinga ubeberu wa Magharibi kwa njia ya nguvu za kigaidi,Mungu hataki kutumia njia hizo ili kuleta haki duniani.
 Alisoma katika Chuo cha kijeshi cha Mantanzas huko Havana,Cuba na akatokea kuwa Komandoo kutokana na walimu wa medani za kijeshi wa                   Urusi.
 Babaye hakumwamini Mungu na mamaye alikuwa Mkatoliki,wakaachana. Carlos alikwenda London, baadaye akapelekwa kkusoma katika Chuo Kikuu cha wanamapinduzi cha Patrice Lumumba,huko Moscow.
 Carlos, alikuwa ‘troublemarker’ dhidi ya maslahi ya mabeberu wa Magharibi. Akajiunga na Chama cha Popular Front for The Liberation of  Palestine(PFLP) Wakateka nyara watu na ndege za Magharibi ili kudai uhuru wa Palestina.
 Carlos, alijiunga na PFLP mwaka 1970 akapewa jina la Carlos kwa sababu ya asili yake ya Venezuela, Amerika ya Kusini.
 Aliitwa, The Jackal na gazeti la The Guardian la Uingereza kufuatia kisasiri(novel) cha Mwandishi Fredrick Forsyth.


                                     CARLOS THE JACKAL (muendelezo)
Katika mfululizo wa makala hizi,tumemfahamu  Ilich Ramirez Sanchez(Carlos) kwamba alikuwa mwanaharakati wa kupambana dhidi ya maslahi ya Magharibi zama za Vita Baridi.
Aliungana na wanaharakati wa Kipalestina(PFLP) kupambana dhidi ya maslahi ya Magharibi na wajomba zao,Israeli.
Carlos Tha Jackal alisoma katika Chuo Kikuu cha Patrice Lumumba Jijini Moscow,Urusi ambako alikutana na wanafunzi wengi wanamapinduzi kutoka nchi mbalimbali,miongoni mwao Wapalestina.
Wakati mwingi Carlos aliungana na wanafunzi wa Kipalestina; na lipigana na Wapelistina bega kwa bega katika vita vya kuikomboa nchi yao na ubeberu wa Kizayuni wa Kiisraeli.Wapalestina walitafuta uhuru wan chi yao kwa mapambano ya kigaidi dhidi ya Israeli na Madola Makubwa ya Magharibi.
Hivyo,tukio la kushambuliwa wanariadha wa Israeli katika kijiji cha Olimpiki huko Munich,Ujerumani Septemba 5,mwaka 1972 inahisiwa Carlos ndiye aliyesuka mpango huo wa hatari sana ulioacha historia hapa duniani.
 Ni  Septemba 5, mwaka 1972, Michezo ya Olimpiki ilipovamiwa na Magaidi wa Black September,Ilikuwa kama ifuatavyo:
ASUBUHI,Septemba 5 mwaka huo 1972, mashindano ya Olimpiki ya majira ya kiangazi yaliendelea kama kawaida.
Kulikuwa na wanariadha 12,000 wa mataifa anuwai wakiwa na maofisa wao.Israeli nayo ilituma wanariadha na maofisa wake,ingawa ilijua ilikuwa inawindwa sana na magaidi wa Kiarabu kwa nia ya kulipa kisasi.
Israeli iliomba ulinzi mkali sana kwa serikali ya Ujerumani.Wakati huo, Magaidi wa Kiarabu-The Black September- wakihofiwa sana hapa duniani.Walikuwa na wanachama wao miongoni mwa wanafunzi waliokuwa wakisoma katika vyuo anuwai vya Ujerumani Magharibi zama hizo.
Hata hivyo, kulingana na Shirika la Ujasusi la Israeli(Mossad) mafunzo ya Mpango Mkakati wa kuivamia michezo ya Olimpiki hapo Munich,ilifanyika Syria huko ambako sasa akina Obama wanapanga kuvamia,kupindua na kumuua Bashar al –Assad.
Kabla ya juma la Olimpiki kuanza,Makmandoo wa Kipalestina waliwasili mjini Munich,kila mtu kivyake,lakini kwa njia ya treni.
Walifika Ujerumani na bunduki hatari za Kirusi,SMG na Kalashnikov-47 inayoitwa kwa kifupi, AK-47.Bunduki hiyo ilitengenezwa mara ya mwanzo na Kalashnikov katika mwaka 1947 ikaitwa namna hiyo.
Duru za kipelelezi zilizotua katika ukurasa huu zinasema, walipewa vibarua katika kijiji cha Olimpiki, wakidhani ni watu tu wa kawaida.Kulikuwa na wafanya kazi 30,000 hivi katika kijiji cha Olimpiki.
Naam, ilikuwa saa 10 hivi Alfajiri,Waarabu wakafika mahali hapo kutekeleza Mpango wao wa kuwateka nyara wanariadha wa Kiisraeli kwenye mabweni walimolala,ili kulipa kisasi kwa adui zao hawa.
Wafanya kazi wa kijiji hicho cha Olimpiki walikwishaamka alfajiri hii.Walikuwa raia wawili wa Kijerumani waliowaona Waarabu wakija kutekeleza Mpango huo wa kuvamia kijiji cha Olimpiki.
Walivalia jezi za kimichezo na walifanana sana na wanamichezo.Walivuka uzio wa kijiji hicho,tena walibeba zana za kimichezo.
Hakuna aliyewatilia shaka kwa jinsi walivyokuwa; maana ilikuwa kawaida sana kwa     wanamichezo kuandoka usiku na kwenda mjini kufanya mazoezi kasha kurejea baadaye.
Hata hivyo, hawa Makomandoo wa Kiarabu-Black September- walijipaka masizi ama mkaa wakawa Weusi tii,ili wasifahamike.Walibeba silaha haraka sana kuelekea mabweni ya wanariadha wa Israeli.
Wanariadha 22(wanaume) wa Israeli,makocha na viongozi wao walikuwa wakiishi katika mabweni matatu.Hao adui zao wakabisha mlangoni kwa upole utadhani watu wazuri sana!
“Humu ndimo ilimo timu ya Israeli?” wakasaili kwa sauti ya kiungwana hivi.
Moshe Weinberg(32),Kocha wa mieleka akafungua mlango.Hamadi!!
Akakutana na wanaume wa kazi wakiwa na SMG,AK-47 na maguruneti mikononi.Akarudi nyuma mkuku.
Weinberg, alipigwa riasasi ya SMG iliyotokea mlangoni.Gad Sabari, mwanamasumbwi alipoona wameingiliwa na Waarabu,akavunja dirisha, akaamka kitandani na kujaribu kuchupa ili akimbie.Tyari mvua kubwa ya risasi ikampata masikioni.
Mapambano ya Black September yalipamba moto dhidi ya adui zao Waisraeli hapo jijini Munich.
Katika jingo linguine, mnyanyua vizito,Yosef Romano, akiwa kisu mkononi alijaribu kupambana nao hawa ‘Intruders’, alijeruhiwa vibaya, akatabawali.
Yosef Gottfreund,refa wa mieleka alisukuma mlango ili kuwazuia wasiingie ndani,aliwasukuma watano wakaanguka sakafuni, halafua kasema “Hevra tisalku!” Haya kimbienii!
Waliusukuma mlango ule ukawa umejifunga tena.Waisreli wawili kati ya wale 22 hawakuwemo mabwenini wakati vrangati likitokea.Tisa kati yao walitimka mbio,visigino kisogoni,wakafanikiwa kujiokoa.
Mbali na Romano na Weinberg,wenzao hawakupona kabisa.Walitiwa mbaroni,wakafungwa mikono na miguu kwa kamba,watatu-watatu walifungwa wakasukumizwaili walale kitandani!
Polisi wa Munich walistuliwa na mtu aliyewapigia simu wakaja wanahema-hema.Walifika katika kijiji hicho cha Olimpiki saa 11 hivi alfajiri.
Naam,vita kati ya Black September na Waisraeli vilikuwa vimeanza mjini Munich. Polisi wamefika wakakuta tayari Waisraeli wametiwa chini ya ulinzi ndani ya Bweni,polisi wakifanya uzembe magaidi wale wanawalipua haraka na kutokomea!
Sasa polisi wamefika mahali hapo. Kutatokea nini?
Usikose toleo lijalo!




  •  



  •  

No comments:

Post a Comment